Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
This is personality attack...usually poor minded people discuss personality, great minded people discuss issueshuyu kaka namjua sana,ana tabia chafu na anamnyanyasa sana mke wake tena hata kumpiga.licha ya hayo anatabia chafu na kulewa kupita kias pia.mengne ngoja niache nisije pigwa ban.
i wish tabia yake ingekuwa nzur kama kipaj chake
Wewe una tabia nzuri??? hebu tuwekee na zako mbaya kama ulizoweka za huyu....