Septemba11
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 620
- 535
Vp mkewe Rahab Fread!
Zuberi Msabaha sio Mkongo we kachori, yeye asili yake ni Kigoma lakini shule ya singi amesoma Mwanza pale Mabatini, kabla hajamaliza darasa la saba aliondoka na kwenda kusoma Kongo. Hiyo ndiyo habari ninayoijua juu yake.eeba nae,sasa inakuwaje tena manake yule ndiye kinara wa RFA
sasa kuna yule mkongo zuberi ndiye wanamtumia kwa kila kitu
hawezi kukataa kwa sababu akifukuzwa inabidi arudi kwao kongo
kaenda kwa mkopo
Katika watu nilioamini watadumu milele radio free ni Fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo akitangaza Times fm.
Jembe limeondoka RFA
kaenda kwa mkopo
uncle sam vip yeye hajahama?
sema ukweli changamoto au mijihela!?
Aisee RFA kuna nini wajameni?
Ni kweli mkuu nimeamua kusepa,maana liredio lenyewe limekaa kimagamba magamba zaidi!Katika watu nilioamini watadumu milele radio free ni Fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo akitangaza Times fm.