Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Bora umesema
Maana kuna watu mpaka wanashangaza wanavyompaisha wangejua anajulikana Dar tu na singida
Magufuli alikuwa anajulikana CHATO tuu kipindi anateuliwa chama tu ndio kilimbeba Sana. Na ndio nyie mlisema hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi, leo mwasema tofauti
 
Kamanda jikite kwenye hoja
****.... ACHA KUWEWESEKA! NEC HAWAJAFUNGULIA KAMPENI! LISSU HAFANYI KAMPENI. ANATAFUTA WADHAMINI. KWAIO HATAKIWI KUFANYA KAMPENI YOYOTE. SASA ULITAKA AWAAHIDI MAJI AU UMEME WANANCHI WAKATI MUDA WA KAMPENI BADO??
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Sawa hadhi ya Lissu ni sawa na ya mbunge, literally kwa sababu alikuwa mbunge hadi Magufuli kwa kushirikiana na Ndugai walipompora ubunge. Na pia we are only having one president at the moment who is Magufuli. Sasa unless you are high on weed or something, yes Lissu ana hadhi ya ubunge na Magufuli ana hadhi ya urais.

However, kwanini Lissu na hadhi yake ya ubunge awasumbue kiasi cha nyie wahuni kuhangaika kila mahali kumchafua kwa hili au lile?

Jibu ni kwamba licha ya Magufuli kufanya siasa peke yake kwa miaka mitano mfululizo bado haniamini. Na licha ya kila aina ya hujuma zenu dhidi ya Lissu, Mungu yupo nae, hatetereki bali ninyi "Kamati Kuu ya Roho mbaya" mpo roho juu.
 
Kamanda kwahiyo kampa "uenyekiti wa SADC" Tundu?
Ukitaja kujua kwa jiiwe uongozi ni bahati mbaya, tazama zile mbwembwe za kuwa mwenyekiti wa SADC lile promo halikuwa la dunia hii, baada ya kuchomesha, jana kakabidhi kijiti kwa aibu huko uchochoroni Dodoma. Na kwanini alichemsha huko SADC, huko zile nguvu zake za vyombo vya dola, watu wasiojulikana, na kutamkwa jina lake kwa majina manne hakuna, ndio maana akatepeta kama mchicha uliochemshwa.
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Najua zinabana, jipeni moyo
 
Lissu anaigiza kugombea urais
Mkuu watanzania wote wangekuwa na akili Kama yangu,mwaka huu ungekuwa ni mwaka wa kumaliza huu upuuzi,yaani Kama katiba Ina sema kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi Sasa hii jeuri na hizi kejeri mnapata wapi? Kwa hiyo watanzania wote wangekuwa Kama Mimi tungekomaa hadi mwisho tuone hii jeuri inatoka wapi
 
Mkuu huo ndiyo ukweli yaani kuanzia Dodoma anapuuzwa leo kahama kapokelewa na Bodaboda yaani vichekesho vitupu.
 
Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Sawa hadhi ya Lissu ni sawa na ya mbunge, literally kwa sababu alikuwa mbunge hadi Magufuli kwa kushirikiana na Ndugai walipompora ubunge. Na pia we are only having one president at the moment who is Magufuli. Sasa unless you are high on weed or something, yes Lissu ana hadhi ya ubunge na Magufuli ana hadhi ya urais.

However, kwanini Lissu na hadhi yake ya ubunge awasumbue kiasi cha nyie wahuni kuhangaika kila mahali kumchafua kwa hili au lile?

Jibu ni kwamba licha ya Magufuli kufanya siasa peke yake kwa miaka mitano mfululizo bado haniamini. Na licha ya kila aina ya hujuma zenu dhidi ya Lissu, Mungu yupo nae, hatetereki bali ninyi "Kamati Kuu ya Roho mbaya" mpo roho juu.
Waangalie tu wasife kabla ya uchaguzi
 
Watanzania wanajua Rais wao ni JPM nyie wachache mpo,tunawasikiliza kwa mujibu wa demokrasia Ila tunawapuuza
Mkuu watanzania wote wangekuwa na akili Kama yangu,mwaka huu ungekuwa ni mwaka wa kumaliza huu upuuzi,yaani Kama katiba Ina sema kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi Sasa hii jeuri na hizi kejeri mnapata wapi? Kwa hiyo watanzania wote wangekuwa Kama Mimi tungekomaa hadi mwisho tuone hii jeuri inatoka wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom