Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Magufuli alikuwa anajulikana CHATO tuu kipindi anateuliwa chama tu ndio kilimbeba Sana. Na ndio nyie mlisema hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi, leo mwasema tofautiBora umesema
Maana kuna watu mpaka wanashangaza wanavyompaisha wangejua anajulikana Dar tu na singida