Habiba Umeniponza...

Habiba Umeniponza...

umejifunza nini mwenzagu?mimi nimejifunza condomu niwe natembea nazo kwenye wallet !!aya nieleze wewe ulichojifunza

Hahahahaaa!
Tumepata funzo moja!
Aisee kavu kavu inakua tamu sana ila majanga ndio kama hayo lol!
Haya maradhi haya si bure! Kuna sehemu kibao za kukaa, hayakai isipokua kwenye mbunye!!!!! Aaagh!
 
Mentor umuwache babu apumueee, babu yetu ashaacha hiyo habari loooong alivomumuvuzisha my wife wake, i mean bibi yetu.

Utakuwa unamusisha na vitu ambavyo pengine kwa sasa ata kukimkumbusha kwa stori tu awezi kumbuka.

Nijuaavyo na nionavyo mm mjukuu wake wa kwanza kule sahare tunapoishi, yaana kwa babu Dark City no one like bibi
.

Amezeeka na amepunzika sasa analea wajukuu


Da KOKUTONA babu huyu Dark City enzi za ujana wake alikuwa infiii balaa. Enzi hizo mjukuu mm bado kijana mdogo ila nilikuwa nachukua notes sema ndo ivo kama Kaizer alivyosema kuna page itakuwa niliruka ndipo yakantokea yaliyotokea.
 
Last edited by a moderator:
Mentor umuwache babu apumueee, babu yetu ashaacha hiyo habari loooong alivomumuvuzisha my wife wake, i mean bibi yetu.

Utakuwa unamusisha na vitu ambavyo pengine kwa sasa ata kukimkumbusha kwa stori tu awezi kumbuka.

Nijuaavyo na nionavyo mm mjukuu wake wa kwanza kule sahare tunapoishi, yaana kwa babu Dark City no one like bibi
.

Amezeeka na amepunzika sasa analea wajukuu


.......
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahahahaha nyie madogo Mashaxizo na mwekundu mnatakiwa kurudi tena class aisee sSIKUWA NA MAANA HIYOOOOOOOOOOOOO.....

Dah mmenchekesha sanaaaa...

Hahahahahaaaa!
Kaka Mentor ulikua na maana gani?
...
Sisi tumejifunza hivyo!
Eti mwekundu! Tunatakiwa tuachane na mbunye! Waweza weye?
 
Last edited by a moderator:
Da KOKUTONA babu huyu Dark City enzi za ujana wake alikuwa infiii balaa. Enzi hizo mjukuu mm bado kijana mdogo ila nilikuwa nachukua notes sema ndo ivo kama Kaizer alivyosema kuna page itakuwa niliruka ndipo yakantokea yaliyotokea.

Naamini utakuwa umejifunza kwa mara ya mwisho eeti baba


Nahisi kama huyu mtoto anatafuta laana....what else can you say?

Babu DC!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom