Habiba Umeniponza...

Habiba Umeniponza...

vibabu kama nyie ambao mwapenda kwenda tuu hovyohovyo ndio mnaowaponza kina Habiba hata wakawa na tabia hizo na mwisho wa siku wanakuja kuwaponza watoto wenu wa kiume!

akina kapuya!!
 
Ila dorah naye hakunitendea haki kuniambia mwenziye si salama!

Mentor...........nikuulize hivi wewe ni mtoto mdogo saaaana kiasi cha kushindwa kukataa?!?!? kama ulishindwa kukataa basi hata hiyo ndoa hukuideserve!!! ulitaka uambiwe kabisa kuwa tumia condom ama hivi na vile as if hujui maana ya condom?!?!? mie naona alokuponz ania shabani na william, na kwa utoto wako ukawaigai kwa kufanya udukuzi! Ungekwua mtu mzima sidhani kam aungefanya maamuzi hayo ukizingatia kwamba unakaribia kuingia katika ndoa na Diana ambaye kwa maelezo yako umemtaja kuwa ni mrembo wa kufa mtu. Nakuomba ikiwezekana badilisha kichwa cha habari tafadhali na uandike Shabani na William wamekuponza!!!
 
vibabu kama nyie ambao mwapenda kwenda tuu hovyohovyo ndio mnaowaponza kina Habiba hata wakawa na tabia hizo na mwisho wa siku wanakuja kuwaponza watoto wenu wa kiume!


Cc: Asprin, Kaizer, Mtambuzi, KakaKiiza, Dark City!!!

Mentor...........nikuulize hivi wewe ni mtoto mdogo saaaana kiasi cha kushindwa kukataa?!?!? kama ulishindwa kukataa basi hata hiyo ndoa hukuideserve!!! ulitaka uambiwe kabisa kuwa tumia condom ama hivi na vile as if hujui maana ya condom?!?!? mie naona alokuponz ania shabani na william, na kwa utoto wako ukawaigai kwa kufanya udukuzi! Ungekwua mtu mzima sidhani kam aungefanya maamuzi hayo ukizingatia kwamba unakaribia kuingia katika ndoa na Diana ambaye kwa maelezo yako umemtaja kuwa ni mrembo wa kufa mtu. Nakuomba ikiwezekana badilisha kichwa cha habari tafadhali na uandike Shabani na William wamekuponza!!!
Paloma, kuna nyakati contessa gin inasababisha maamuzi yakawa distorted!

But in anyway, kina Shabani na William hawakunipotezea mke mtarajiwa la hasha!
Habiba asingekuwa ameathirika mimi ungekuta naitwa baba nanii...
 
Last edited by a moderator:
Cc: Asprin, Kaizer, Mtambuzi, KakaKiiza, Dark City!!!


Paloma, kuna nyakati contessa gin inasababisha maamuzi yakawa distorted!

But in anyway, kina Shabani na William hawakunipotezea mke mtarajiwa la hasha!
Habiba asingekuwa ameathirika mimi ungekuta naitwa baba nanii...


kwa hiyo hata matumizi ya kinga nayo huyajui.............?!?!
bado nasema ni umburula wako ndio uliokuponza ukisababishwa na kina Shabani na William. Wasingekuw ahao kukupeleka hapo na kukushikisha mkono kwa Habiba, je ungemdo? hata kama umetumia Contessa Gin!?!
 
kwa hiyo hata matumizi ya kinga nayo huyajui.............?!?!
bado nasema ni umburula wako ndio uliokuponza ukisababishwa na kina Shabani na William. Wasingekuw ahao kukupeleka hapo na kukushikisha mkono kwa Habiba, je ungemdo? hata kama umetumia Contessa Gin!?!

Mbona wamtetea sana #habiba !?

My point is, ilikuwa kosa la wakati mmoja tu halimaanishi nilikuwa mbulula!

Halafu mbona humuongelei Dorah hapa!??


Halafu nimejifunza...sitorudia tena!!!
 
Mbona wamtetea sana #habiba !?

My point is, ilikuwa kosa la wakati mmoja tu halimaanishi nilikuwa mbulula!

Halafu mbona humuongelei Dorah hapa!??


Halafu nimejifunza...sitorudia tena!!!

kumbe ulifikiri kosa ni mbara ngapi? Dorah kwani ulifanya naye nini?
Ukome ndio.......usirudie tena!!!
 
ngoja nije mlango wa uani maana huku mbele sikuwezi mie
wanakuweza wengine mm nshawekewa lockup
yangu ni macho tu nakuodoa mwaaaa :shocked::shocked::shocked:
njoo uninong'oneze bestito!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom