ko huyo ndio tabia ya Asprin
Weka mbali na vibinti
Mentor naanza kuona kipaji cha utunzi mwilini mwako..
Back to the story..pombe na ngono ni mtu na kaka yake ..havikwepani.
mentor je hao kaka zako waliokuwa na ushawishi wa wewe kuwa na habiba hawakukumbusha suala la condom?? je ulishawaeeza na jinga gani ulilolipata na wamelichukuliaje?
Haiye sana!
Pole sana kakaa jombaaa.
Dah...no HAPPY ENDING?Its sad!!
Hahahah.... mi mecheka sana walah. Huyu Habiba kama namjua. Janjajanja sana. Hebu twende wozap tukachat kidogo dogo Mentor.
Just trying bro...but thanks!
Haika sana awae...kunu wuyaneny kuwore wukiwa! ila tunajipa moyo...
mhhhh........Habiba!!!
huyu Mentor hajui anamkosea mstaafu?Hivi wewe unaumwa nini??
Nani kakwambia mstaafu anaweza kuwa infi??
King'asti, Fixed Point, PakaJimmy, Filipo, marejesho njooni mnitetea kabla sijasababisha madhara makubwa kwa huyu mtu...
Babu DC!!