Habiba Umeniponza...

Habiba Umeniponza...

Wekyeamba uyana u uwor'e shir''iwa Monowama. Uambuye ng'u meku ulyawilie see ndao kanyi!

Nadhani ukiomba kazi kwenye moja ya haya magazeti unaweza uza riwaya aisee, Una kipaji cha uandishi.

Hayang awae...kindo kikubwa nyi 'kuambuya..' #yasijirudie .

Hivi wewe unaumwa nini??

Nani kakwambia mstaafu anaweza kuwa infi??
King'asti, Fixed Point, PakaJimmy, Filipo, marejesho njooni mnitetea kabla sijasababisha madhara makubwa kwa huyu mtu...

Babu DC!!

Babu Dark City umeniruka futi mia kabisa? tatizo nimesahau zile thread zako za enzi zako ulikuwaje? Ama unadhani ni mapak ufanye ndo mjukuu nijifunze...Nilikuwa nakumbuka, "Ahh hata babu DC aliwahi kufanya haya, nothing can ever go wrong, POOR ME!:frusty:"
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mentor una hatari wewe!!! Juzi juzi ulipona kule tanga kuambukizwa gonjwa zito na totoz la kitanga!!! Leo tena habiba..hukukoma.duuuhhh...stori nzuri lakin..
 
Last edited by a moderator:
Hayang awae...kindo kikubwa nyi 'kuambuya..' #yasijirudie .



Babu Dark City umeniruka futi mia kabisa? tatizo nimesahau zile thread zako za enzi zako ulikuwaje? Ama unadhani ni mapak ufanye ndo mjukuu nijifunze...Nilikuwa nakumbuka, "Ahh hata babu DC aliwahi kufanya haya, nothing can ever go wrong, POOR ME!:frusty:"

Kwa hiyo hutaki kuamini kwamba Babu kastaafu?

Ngoja nikuitie shahidi wengine hapa...lol!!
KOKUTONA, Paloma, Mtambuzi, Mwita Maranya....

Kama unalo jengine basi unambie.......

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mentor huyo kaka Shabani hakukukumbusha kuwa unatakiw auvae gloves unapoenda kushika miiba
Pole kwa kutoswa na Diana na kuwa senior bachelor
 
Last edited by a moderator:
Hyo mikwala najua pa kuimaliza. Wala mi hainitishi. Maji huwa hayazuiwi kamwe. Huwa yanatengenezewa mkondo. cc Kaizer

Wewe na Mentor tutawapotezeni hapa jf. Habari zenu tumezipata. Hatuwezi kuacha wajukuu zetu waangamie kwa ukware wenu

Yani chapchap sana
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom