Habiba Umeniponza...

Habiba Umeniponza...

Hahahahahaaaa!
Kaka Mentor ulikua na maana gani?
...
Sisi tumejifunza hivyo!
Eti mwekundu! Tunatakiwa tuachane na mbunye! Waweza weye?

Naaam...hasaaa nlitaka mjifunze kuachana na mbunye zisizokuwa zenu...tafuta yako moja tu!

Naamini utakuwa umejifunza kwa mara ya mwisho eeti baba


Ama hakika naamini nitakuwa nimejifunza...bado naitafuta ile page nliyopoteza so i can perfect my game...

Pole Mentor!
Ila nimependa story yako inafundisha.

Asante mkuu..am humbled!

Nahisi kama huyu mtoto anatafuta laana....what else can you say?

Babu DC!!

La hasha babu.

Nahitaji baraka zako na mm mjukuu wako niwe na bibi DC wangu...

Mentor naomba mawasiliano ya diana niangalie anaendeleaje ,baada ya wewe kuharibiwa na kina habiba ,dorah , kaka william na shaban.

Unatumia mtandao gani?

hahhaaaaa wajukuu wenyewe hamko makin hivo.......bora kina babu Asprin wawasaidie majukum tu lol

Ha ha ha!!! Cc: figganigga
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa!
Tumepata funzo moja!
Aisee kavu kavu inakua tamu sana ila majanga ndio kama hayo lol!
Haya maradhi haya si bure! Kuna sehemu kibao za kukaa, hayakai isipokua kwenye mbunye!!!!! Aaagh!
Hadi mimi Best nashangaa kwa nini yasikae unyayoni? Au mguuni?
 
e sana Kaka Mentor kwa nini ulizamisha yote na kuiloweka? ndio madhara ya kilaji.
wenzako huwa tunataka ukamuaji wa Jogoo na kuku unakamuliwa juujuu hujatua
ukiona mwenzako anailoweka basi ni Gono na ombea angekuchubua usingekuwepo
Shukuru Mola na usirudie tena
Mtafute Diana km hajaolewa mrudiane
 
Last edited by a moderator:
ulikuwa hujui......habari ndio hiyo

Kwahiyo dau la Benzi na ofisi ya pale Biashara complex mwananyamala huitaki?
Natoa masharti um release figga nigga otherwise uchague moja Tindikali ihusike amwagiwe au lah...sisi ndo wenye nchi ndo maana hata dada zetu wanauza unga na hawakamatwi,figga nigga kitu gani?
 
Kwahiyo dau la Benzi na ofisi ya pale Biashara complex mwananyamala huitaki?
Natoa masharti um release figga nigga otherwise uchague moja Tindikali ihusike amwagiwe au lah...sisi ndo wenye nchi ndo maana hata dada zetu wanauza unga na hawakamatwi,figga nigga kitu gani?

acha kumtia majaribuni mke wangu. mia
 
e sana Kaka Mentor kwa nini ulizamisha yote na kuiloweka? ndio madhara ya kilaji.
wenzako huwa tunataka ukamuaji wa Jogoo na kuku unakamuliwa juujuu hujatua
ukiona mwenzako anailoweka basi ni Gono na ombea angekuchubua usingekuwepo
Shukuru Mola na usirudie tena
Mtafute Diana km hajaolewa mrudiane
Binti Kadogoo sijakusoma vyema ati...

Diana ana mchumba mwingine kwa sasa, labda mwakani ataolewa!!! :-( :-(
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom