mbona kubebana ni jambo la kawaida tu....uliza udsm, huko hakuna haja ya viongozi kuomba mbebane...ni suala ambalo ni automatic, ukipata rum, asiye na rum anakutafuta unampa nusu bed...life goes on!!!!!
kama ni issue ya magonjwa, kwani kwenu hamjawahikulala zaidi ya mmoja kwenye bed moja? mliambukizana magonjwa?
labda wanapromoti mapenzi ya jinsia moja! imagine midume mizima inabebana...halafu kwenye vitanda vidogo vile..what do u expect?
Habairi zenu ndugu wapendwa wa jf,
Nipo mzumbe university mwaka wa kwanza,chuo tumefungua rasmi tarehe 17th oct,na wanafunzi wengi wamefika tarehe hyo na kuanza mara moja kusajiliwa lakini cha wasiwasi zaidi ni kwamba tcu wameleta wanafunzi wengi sana ambao hawapo proportion na accomodation za chuo.Mpaka sasa wanafunzi zaidi ya mia 4 hawana makazi na kupelekea viongozi wa MUSO na kKupelekea viongozi kupita room mpaka room kuomba tubebane ili angalau tuweze kukizi maitaji.
Kwa mazingira ya MU mtu wa kawaida huwezi kupanga nje ya chuo kwasababu gharama ni kubwa sana<wanachaji elfu tano kwa siku>.HALI ni tete sana kwani chumba kimoja kina vitanda vi 3 ambavyo ni doubledeck kwa sasa tunalala kitanda ki1 watu wa 2 thus ni hatari sana kwa afya yetu.
Sababu wanazozitoa chuo ni za msingi sana kwani wanaeleza kama vigezo vingezingatiwa watu mbalimbali wasingekuwepo.
Hii mijamaa mengne sijui ina udugu na ma-freemason,kubwa zima roho mbya.
mbona kubebana ni jambo la kawaida tu....uliza udsm, huko hakuna haja ya viongozi kuomba mbebane...ni suala ambalo ni automatic, ukipata rum, asiye na rum anakutafuta unampa nusu bed...life goes on!!!!!
kama ni issue ya magonjwa, kwani kwenu hamjawahikulala zaidi ya mmoja kwenye bed moja? mliambukizana magonjwa?
habairi zenu ndugu wapendwa wa jf,
nipo mzumbe university mwaka wa kwanza,chuo tumefungua rasmi tarehe 17th oct,na wanafunzi wengi wamefika tarehe hyo na kuanza mara moja kusajiliwa lakini cha wasiwasi zaidi ni kwamba tcu wameleta wanafunzi wengi sana ambao hawapo proportion na accomodation za chuo.mpaka sasa wanafunzi zaidi ya mia 4 hawana makazi na kupelekea viongozi wa muso na kkupelekea viongozi kupita room mpaka room kuomba tubebane ili angalau tuweze kukizi maitaji.
Kwa mazingira ya mu mtu wa kawaida huwezi kupanga nje ya chuo kwasababu gharama ni kubwa sana<wanachaji elfu tano kwa siku>.hali ni tete sana kwani chumba kimoja kina vitanda vi 3 ambavyo ni doubledeck kwa sasa tunalala kitanda ki1 watu wa 2 thus ni hatari sana kwa afya yetu.
Sababu wanazozitoa chuo ni za msingi sana kwani wanaeleza kama vigezo vingezingatiwa watu mbalimbali wasingekuwepo.
oya vipi wewe? Unaenda kusoma au unaenda kulala?? Eleza issue ya madarasa na si kulala!
habairi zenu ndugu wapendwa wa jf,
nipo mzumbe university mwaka wa kwanza,chuo tumefungua rasmi tarehe 17th oct,na wanafunzi wengi wamefika tarehe hyo na kuanza mara moja kusajiliwa lakini cha wasiwasi zaidi ni kwamba tcu wameleta wanafunzi wengi sana ambao hawapo proportion na accomodation za chuo.mpaka sasa wanafunzi zaidi ya mia 4 hawana makazi na kupelekea viongozi wa muso na kkupelekea viongozi kupita room mpaka room kuomba tubebane ili angalau tuweze kukizi maitaji.
Kwa mazingira ya mu mtu wa kawaida huwezi kupanga nje ya chuo kwasababu gharama ni kubwa sana<wanachaji elfu tano kwa siku>.hali ni tete sana kwani chumba kimoja kina vitanda vi 3 ambavyo ni doubledeck kwa sasa tunalala kitanda ki1 watu wa 2 thus ni hatari sana kwa afya yetu.
Sababu wanazozitoa chuo ni za msingi sana kwani wanaeleza kama vigezo vingezingatiwa watu mbalimbali wasingekuwepo.
labda wanapromoti mapenzi ya jinsia moja! imagine midume mizima inabebana...halafu kwenye vitanda vidogo vile..what do u expect?