Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
we utakuwa umesoma academia tu,kwani hata sekondari haukuwahi kukutana na hayo??uliza walosoma PUGU,ndo tatizo la kusoma english medium,international skul,academy halafu chuo mnataka msome sawa na walotoka chipolopolo,cha msingi hama tu chuo nenda kasome na chuo cha hadhi yako ndugu hapo utateswa mpaka utakoma na hiyo bado trela picha linakuja
vijana wa pugu mnaongoza kwa fangas kiwandan, fikiria m2 black lakin ile ngoz ya naniliii imekuwa km umetumia karolaiti.