Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,906
- 945
MHE. NDAISABA GEORGE RUHORO - HABARI NJEMA ZAO LA KAHAWA MKOA WA KAGERA
MASWALI NA MAJIBU WIZARA YA KILIMO
Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro ameiuliza swali Wizara ya Kilimo - "Wizara ya Kilimo ina Mkakati gani wa kuhakikisha wakulima wa Kahawa Wilaya ya Ngara wanaendelea kuuza Kahawa yao kwa bei nzuri kama ilivyokuwa kwenye msimu uliopita"?
"Utaratibu wa Wizara ya Kilimo iliyoanza nao wa kumpa mkulima bei nzuri Wizara itaendelea nao na kuhakikisha mkulima kupata masoko ya uhakika na azalishe Kahawa yenye ubora ili iweze kumpatia bei nzuri sokoni"