Habari njema: " Bunge Live" limerudi!

Habari njema: " Bunge Live" limerudi!

Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa wanamapambio sawa,sawa kabisa,ila wengine sijui
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Budget imeruhusu sio this time?
 
Bunge live linafanya tushindwe kufanya Kazi Mchana, na tunahitaji kufanya Kazi.
 
Kama ambavyo sina mpango tena wa kupanga foleni kwenda kupiga kura, ndivyo ambavyo sina mpango wa kuangalia kiitwacho bungelive la sasa.
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!

Watu wengi wameacha kuangalia taarifa ya habari, je itakuwa Bunge?
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Umesema bunge 😂😂😂 kumbe kuna bunge
 
Acha vikao vya chama viendelee kurushwa na Tv ya chama
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Baraza la CCM
 
Hivi channel ten iko kwenye decoder gani sijawahi kuiona 😳😂😳😂😳😂
 
Kwahiyo unatuaminisha kuwa hilo ni bunge lenye hoja zenye mashiko kama lilivyo bunge lililoishia 2020?
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Sema kamati kuu ya CCM iko laivu.tz hamna bunge.
 
Litaachaje kurudi na waliorudi ni wale wanaowashwa sana nyuma, wazee wa ndioooo mlengo mmoja
 
Back
Top Bottom