Habari njema: " Bunge Live" limerudi!

Habari njema: " Bunge Live" limerudi!

Hii ni habari njema hasa kwa vyama vya upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live...
Nani anaangalia mkutano wa ccm, labda wanaccm tena wa huko bush. Hakuna anayejitambua anaweza kuangalia hilo bunge kibogoyo. Hapo ndio mtajua watu hawalazimishwi kupenda.
 
Channel ten ni ya watanzania wote!
Umeshayasahau maneno yako mwenyewe kwenye kuanzisha uzi huu!!!?? Hebu yasome upya.... "Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana" Eti sasa umekuja na "Channel ten ni ya watanzania wote!"

Kweli maendeleo hayana vyama.
 
Umeshayasahau maneno yako mwenyewe kwenye kuanzisha uzi huu!!!?? Hebu yasome upya.... "Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana" Eti sasa umekuja na "Channel ten ni ya watanzania wote!"

Kweli maendeleo hayana vyama.
Kwani CCM siyo ya watanzania wote bwashee?!
 
Wamebaki pekeyao wazee wa ndio sasa ndio wanajidai bunge live. Kwanini walizuia bunge kuwa live miaka 5 ya mwanzo wapinzani walipokuwepo?
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Nilijua bunge live litarudi kwa sababu waliosababisha lisiwe live washakuwa eliminated. Wanaamini hakuna tishio tena lakini bado kuna ku overlook. Pia ile supu tamu haipo na hivi wateja wamesusa!!!
 
Hii ni habari njema hasa kwa Vyama vya Upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Hata kodi za Halmashauri zimerudi Halamashaurini,hatulipi TRA tena.5tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom