Habari njema: " Bunge Live" limerudi!

Habari njema: " Bunge Live" limerudi!

Haya fursa hii kwenu Lumumba, wapeni hao COVIDO KUMI NA TISA air-time bungeni ya kutosha ili wawakandie viongozi wao - hii pia ni njia nyingine ya kuwamaliza CDM - waambieni hoja yao iwe ni mfumo dume uliomo ndani ya chama hiki kinachowanyanyasa wanawake
Hawa akina Halima Mdee ni tofauti na wale akina Lijualikali!
 
Sioni maana ya live tena, Mbunge wa ccm Mbogwe wiki jana wakati ufunguzi kituo cha afya Masumbwe mbele ya Rais ,C.man aliangua kilio Wabunge wa ccm " Tunabanwa sana....ukweli hautakiwi...japo wengine tunakwenda kanisani....mfano hata hapa mradi huu mengine yamefanyika mengi kwa dharula hata jana usiku kufuatia ujio wako.....tupo wabunge 160... tunania ya dhati kukusaidia lakini tunabanwa....."
 
Hii ni habari njema hasa kwa vyama vya upinzani Chadema, CUF na ACT wazalendo ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakishinikiza kurejeshwa kwa bunge live.

Bunge mubashara limerudi kupitia luninga ya CCM iitwayo Channel ten, karibuni sana.

Hata sasa bunge liko live.

Maendeleo hayana vyama!
Hapo hakuna bunge bali ni genge la kusifu na kuabudu mfalme J
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom