hawa majoga wasipweza kuandamanaPassive Aggressive Tanzanians: Farmers by day, soldiers by night.
Mmeanza kuogopa!Watatumia huu mwanya kubambikizia watu tuhuma na kesi za uongo, watazidisha chuki, matokeo YATAKUWA mabaya zaidi
Hizi ndio mambo CHADEMA wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Ha ha hahaa.. Huyu mtaalamu ndo anafaa
Mshahara wa dhambi!Hizi ndio mambo CHADEMA wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Kwa jinsi walivyo na akili fupi ccm wanadhani walichokifanya ni haki,sahihi na wengine hawajui!Nawewe ukisikia WATU wameiba KURA,wamefukuza mawakala wa vyama vya upinzan roho yako kwatuuuuu kwatu...
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Mmeanza kuogopa!
Mbona swali hili la kijinga linarudiwa kuulizwa? Wangekufa wote uchunguzi usingefikiriwa hata kufanywa? Au intelijensia ya ziro na mroto/mambosasa ni ju ya wapinzani tu? Shenzi kabisa!Issue ya Lissu ni kitendawili. Shahidi namba moja wa KUTOA maelezo chadema wamemficha. Unataka polisi wafanyeje?
Wacha wajifariji tu hakuna namnaKwahiyo upande wa pili ndo wameona njia mbadala ya kujifariji ni kuanza kuchoma nyumba za Watanzania wenzao!.
Karma ya Dr. Silaha itaendelea kuwatafuna Sana.
Mimi sina sababu ya kwenda Rukwa au Tabora, nawakamua hukuhuku yaani kenge yeyote ninaye mjua halambi hata mia yanguKwa sababu maendeleo hayana chama, lakini si sahihi kushikiriki kukuza uchumi wa mwananccm maana faida wanazopata wanaenda kuzitumia kwenye matendo haramu.
"Waliofanya huo ujinga watapatikana..."Acheni ujinga. Waliofanya huo ujinga watapatikana na kushugulikiwa.
Halafu hamkawii kulia mkianza kungolewa kuchaWaendelee kuhusika mkapa MA-DED na Mahera wakaishi Ikulu wote kwa usalama wao.
Akili fupi hata kuandika hujuiNa bado. Maana peaceful protest si mmekataa.
Wala hawataandamana ila majibu yake fire wahiandae kuchunguza vyanzo mioto.
DEDs sio Watanzania wenzetu.Kwahiyo upande wa pili ndo wameona njia mbadala ya kujifariji ni kuanza kuchoma nyumba za Watanzania wenzao!.
Karma ya Dr. Silaha itaendelea kuwatafuna Sana.
Akili fupi hizi"Waliofanya huo ujinga watapatikana..."
Sijui unao uhakika gani juu ya" kupatikana" wahusika; ila najua watapatikana, hata kama hawakuhusika na jambo hilo. Huo utakuwa mwendelezo tu wa kuwashughulikia hao mnaowadhani ni wahusika.
Ni nyakati zenu hizi, hamna pingamizi la kuumiza mnaowabagua.
Lisu anasiri nzito sana juu ya shambulizi lake. Siasa yahitaji subira. Hakuna ajuae lknMbona swali hili la kijinga linarudiwa kuulizwa? Wangekufa wote uchunguzi usingefikiriwa hata kufanywa? Au intelijensia ya ziro na mroto/mambosasa ni ju ya wapinzani tu? Shenzi kabisa!