Si unaona umeshaunganishwa?Hahahaaaa.........!
Nakutakia Dominica yenye baraka.
Duhhhh!!!!Taarifa nilizozipata mdogo wake na Mkurugenzi aliyechomewa nyumba kafariki jioni baada ya kufikishwa hospitality.Nipo meatu Sasa hv
nhhh..!!??Bad story at all - pole zake, washukuru wamepina
Mkurugenzi wa Meatu mkoani Simiyu amechomewa nyumba yake usiku wa kuamkia leo...
Kumhurumia adui yako ni aina ya ugonjwa wa akili.Imefikia hatua tukisikia habari hizi tunashangilia. Dhuluma mbaya sana.
Hebu tuangalie kwa makini hilo kama hivi;Hizi ndio mambo CHADEMA wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Ila mmezoea wizi wa kura!Uhuni huo haukubaliki hata kidogo! Watanzania hatujazoea hayo, wasakwe na hatua zichukuliwe dhidi yao
Hao hao ndiyo wamesababisha na kusherekea aya alafu hao hao ndiyo watatue ili tatizo? Siamini kabisaNimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT.
Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
Mkurugenzi wa Meatu mkoani Simiyu amechomewa nyumba yake usiku wa kuamkia leo...
Mkuu akikujibu nistue aseeSoko gani? Lipo Kijiji gani? Elezea kwa urefu ili tuifuatilie. Kwanini Wanafanya hivyo?
Punguani, maridhiano kwa lipi?. Hakuna cha kubembelezana hapa, na wahalifu wote watashughulikiwa ipasavyo. Ongezeni ujinga vichwani mwenu.Lissu akiongelea maridhiano, kuna watu wanambeza, wacha tufike wanakotaka tufike.
Mkurugenzi wa Meatu mkoani Simiyu amechomewa nyumba yake usiku wa kuamkia leo...