Niupuuzi kufurahia kupora haki ya mtu kisa,nasema hivi zichomwe zoteNi upuuzi kufurahia hili jambo kwa tofauti za kisiasa...
Niupuuzi kufurahia kupora haki ya mtu kisa,nasema hivi zichomwe zoteNi upuuzi kufurahia hili jambo kwa tofauti za kisiasa...
Kenge wewe...UHUNI WAKUIBA KURA HATUKUUZOEA WAHUSIKA WAUWAWE TUUhuni huo haukubaliki hata kidogo! Watanzania hatujazoea hayo, wasakwe na hatua zichukuliwe dhidi yao
Wow! That's interestingNimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT.
Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
Kwani huyo mkurugenzi amekufa?Nauliza tu hiyo nyumba iliyoungua huko meatu mkoani Simiyu ni mali ya binafsi ya mkurugenzi au ni nyumba ya serikali?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kama ni ivyo watu asila zitawaisha yeye hanawazazi watoto ndugu awapendao watu wakiamia ukoWalindwe mpaka 2025 ili wajue kuwa wizi ni gharama.
Hahahaaaa.........!Unapenda sana kuanzisha nyuzi!Kwani hilo swali ungeuliza kwenye uzi ulioletwa kuhusu nyumba kuchomwa usingepata majibu?
Akili fupi hata kuandika hujui
Hii ni mada tofauti bwashee japo tukio ni lile lile, usinune.Mods mbona Uzi huu hamuunganishi na Uzi husika? Huu ni upendeleo wa wazi kwani wengine mnaeaunganisha wakati kilichomo kwenye Uzi ni tofauti.
Wote ni adui wa haki, mkurugenzi na hiyo serikali yenu dhalimuNauliza tu hiyo nyumba iliyoungua huko meatu mkoani Simiyu ni mali ya binafsi ya mkurugenzi au ni nyumba ya serikali?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hii si mada hili ni swali, unaandika kisha haujui ulichoandika? What a great thinker are you!Hii ni mada tofauti bwashee japo tukio ni lile lile, usinune.
Nakutakia Dominica yenye baraka!
Akili fupi hizi
Hahahaaaa..... Tumesikia kilio chako mnyasa.Hii si mada hili ni swali, unaandika kisha haujui ulichoandika? What a great thinker are you!
Mods ondoeni naona analazimisha mjadala kwenye swali alilouliza.
Tunakoelekea ni kubaya sanaNimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT.
Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
Za kwako ndefu hapa ndipo zilipoishia?Akili fupi hizi
Kumbe umekariri? Hiyo ndefu iko wapi?Akili fupi hata kuandika hujui