antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,577
- 119,972
Ha ha ha..leo hii madiwani ; wabunge ; wenyeviti wa mtaaa ; DED etc wanaishi kama digi digi .....wengi kwenye maeneo hatari hawalalali kwenye nyumba zao
Na kuna maeneo makada wa ccm kwa sasa hawathubutu kujitambulisha wala kuvaa kijani