Habari kubwa leo 1:8:2013

Habari kubwa leo 1:8:2013

habari za asubuhi wana jf wote?! nchini kenya imeripotiwa mama mmoja ameichoma moto nyumba aliyokuwa akiishi akiwa na watoto wake ndani kwa sababu ya kuachwa na mume wake,mama amesema aliamua hivyo baada ya maisha kuwa magumu since waachane na mme wake vp kulikuwa kuna ulazima wa kufanya maamuzi hayo?!!!!!!!!!!
ukisikia maamuzi magumu ndo hayo...
 
huyu Mr Rocky ana majigambo ila namwaminia kwa kubadilika kutokana na mazingira sababu ya mikeka nikukombwa vitu ila kaujanja kengine eti huko tunapoelekea anasema eti maisha yatakuja kuwa hivyo
 
Last edited by a moderator:
stevoh wala sio majigambo bana ni hali halisi si unajua etna mkuu
Salama lakini
Hujaona mke aise humu
 
Last edited by a moderator:
sweetlady unaniita janga la nini
hao waume zenu siwataki hata hivyo
au na wewe haujiamini;
unatakiwa ufundwe kwanza ujue kuishi
na mwanaume; ili Mamndenyi asikupore;
grrrrrrrrrp!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Lini uliwahi kunipora mume mie? Halo halo.. Vin Diesel ulimkwapua wakati ndoa yetu imetetereka, hata hivyo mbona alikumwaga pia?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom