Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
habari za asubuhi wana jf wote?! nchini kenya imeripotiwa mama mmoja ameichoma moto nyumba aliyokuwa akiishi akiwa na watoto wake ndani kwa sababu ya kuachwa na mume wake,mama amesema aliamua hivyo baada ya maisha kuwa magumu since waachane na mme wake vp kulikuwa kuna ulazima wa kufanya maamuzi hayo?!!!!!!!!!!