Maswa Yetu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 1,399
- 2,601
Balozi msitaafu Humphrey Polepole amewaomba watanzania wasimuhukumu kwa kushindwa kutoa matokeo mazuri kwenye kazi yake ya Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi na baadae nchini Cuba kwa sababu alikuwa hapati ushirikiano wa kutosha kutoka kwa watendaji wa Serikali ya Rais Samia kwani wengi hawafanyi kazi mpaka wabembelezwe na wanamhujumu Rais Samia waziwazi lakini hawachukuliwi hatua yoyote.
Humphrey Polepole amelinganisha utendaji wa Serikali ya Rais Samia na nyumba isiyokuwa na mwenyewe.
Yani Serikali ya Rais Samia ni goigoi kiasi kwamba kama unafanya kazi kwa bidii na unataka matokeo kwa haraka itakubidi ujihuzuru kwani hutaweza kuendana nao.
Humphrey Polepole amelinganisha utendaji wa Serikali ya Rais Samia na nyumba isiyokuwa na mwenyewe.
Yani Serikali ya Rais Samia ni goigoi kiasi kwamba kama unafanya kazi kwa bidii na unataka matokeo kwa haraka itakubidi ujihuzuru kwani hutaweza kuendana nao.