Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

mimi nakubaliana na wewe,ila nashauri tuanze na katiba.kwa mtu yeyote mwenye mapenzi na taifa letu aiunge mkono rasimu ya katiba iliyotolewa na tume ya jaji warioba.inashangaza kundi fulani wanaipinga sana rasimu ya katiba ya warioba haohao wanakua wakwanza kuibua na kulalamikia matatizo walioanzisha wao.jiulize wakati hii mikataba inasainiwa chamachamapinduzi kama mdhamini wa serikali iliyosaini kilikua upande gani?je wakati wa kujadili rasimu ya warioba ccm ilikua upande gani?na leo hii tunapolalamika ccm ipo upande gani?umefika wakati sasa katiba ya ccm ibadilishwe kifungu kinacholazimisha rais wa nchi kua mwenyekiti wa chama.
 
Hao sio ukawa ni watu wanaofikiria toafuti
 
Umeandika kwa kutumia Nguvu sana Mkuu afu hujatoa Solution ya Tatizo...
Naamini Ukinywa Maji na ukavuta pumzi utakuja na solution nzuri tu.m
Suluhisho limetolewa na wengi akiwepo Lissu na ZZK! Wewe in mvivu wa kufikiri kama hujaona au kusikia suluhisho zote hizo.
 
Mbona mnazingua sana.mbona mnakuwa na hofu wana jf.hakika raia wa tanzania ni watu waajabu sana sisi.kweli kabisaaa tuna diriki kumtetea mwizi badala ya kuungana na raisi wetu?


Hakuna mahali ambapo tunaonyesha nia yakulinda na kutetea maslahi ya nchi.

Raisi alizuia mchanga ilikupima na kujua thamani ya kilichopo ndani ya mchanga.kuna ubaya gani hapo.tumekubaliana na yote kuwa mikataba nimibovu tulio wapa dhamana wametuingiza mkenge sawa lkn hatuwezi kukubali kuendelea kudanganywa kwenye mchanga pia.watwambie kila mwaka wanakula hasara wakati wanapata faida mara dufu zaidi kwenye mchanga huo.

Kwani hili linaubaya gani.
 
True. Ila nilichomwelewa ni kwamba tuliowapa dhamana walituingiza mkenge lakini suluhisho au approach ambayo inatumika kutunasua huku walipotuingiza anaona sio sahihi.
Kama siyo sahihi wewe ni mtanzania kwa namna moja au nyingine hili swala linakuhusu toa ushauri siyo kulalamika tu na kukaa kimya
 
Jamani kwani nyie si mmesema sana na kuishauri acacia wakashtaki sasa mbona bado mapovu yanawatoka. Si msubili sasa hiyo kesi kama IPO. Sasa shida itakuja pale kesi itakapopotezewa sijui mtaficha USO wenu wapi katika hili. Jamii nzima inawashangaa sana. Ndo mana hata to tec au cct na bakwata wamekaa kimya inasubiliwa hiyo kesho mnayoshauri nyie ili mfurahi kwa sababu serikali itakuwa imeshtakiwa na mtakuwa roho imesuuzika hususani tundu lisu na genge la chadema.
Unajua chadema sikuamini mama kuna mazezeta kama akina lisu na mboe.
 
Botswana je?,swala sio kwamba tunawakimbiza,wanatakiwa walipe stahiki zote sio wanasema hakuna kitu kumbe kipo
 
ivi gwajima ni mwana siasa au inakuaje mi sielewi ujue
 

Swala lililopo umegeukaje kutafuta njia sahihi!? Je unaotamani wakuunge mkono(ukawa) uliwaaikilizsga walipokushauri!? Ok achana na hayo je leo unapotamani wakuunge mkono unawasikiliza wakikushauri au unawaona ni watu ambao hawana akili timamu !!?
 
Bandiko lako ninatoa tafakuri pana ... ILA! tumechoka kuibiwa! Hatuna maisha mazuri! hatuna tofauti na Zimbabwe, Venezuela, Libya, Iraq et al .... Sijui watatupa adhabu gani ambayo itatuumiza....

 
Kujua kusoma na kuandika tu inagharimu taifa. Maccm wametufikisha pabaya.
 
Kwa hiyo tuendelee kuumizwa na mikataba mibovu mpaka lini?Anachokifanya Magufuli ni sahihi japo kina madhara ndani yake.Tutaumia sisi ila kizazi kitakachokuwepo 2050 kitaneemeka.Tatizo letu sisi tunapenda maisha mazuri yatuhusu sisi wenyewe na si vizazi vinavyofata.
 
Kabla ya utaifishaji hali ilkuwaje, uchumi wa Tanzania ulikuwa bora kuliko wa Kenya?!

Na huko kwa Sadam na Gadafi hali ya wananchi imekuwa bora zaidi baada ya viongozi hao kuondoshwa?

I never thought that you could be this irrelevant.
 
Kuna mtu mmoja kajibiwa kwenye hili mkuu hajaambiwa rais
 
Umemjibu vyema kabisa asikofu naniliu, na ifike pahali Mh Rais wetu akubali ushauri hata wa viongozi wenzie wa CCM, na nyie mawazili acheni unafiki maana mmekuwa kama watumwa kila atakalo sema rais mnaliunga mkono hata kama siyo sawa, nyie ndo washauri wa raisi, Rais nae ni binadamu kama wengine yeye pia ana mapungufu yake na ndiyo maana akawateueni kwa sababu alijua hatoweza kufanya kila kitu peke yake ikiwemo kujadiri na kushauliana mambo mbali mbali yatakayo leta maendeleo katika nchi yetu, sasa nyinyi mawaziri wa leo badala mkosoe mnashangilia tu halafu mtu akitoka huko akaongea mnaanza kusema hapendi maendeleo ya nchi yetu, ni sawa swala la madini analofanya raisi si baya kwa nchi yetu ila sasa analifanya kwa njia inayofaa??? Maana kama ni mikataba walipitisha wao wenyewe na bungeni na yeye akiwa mmoja wao halafu leo anashangaa kuona kitu kama hicho kweli!!! Inatakiwa afikilie jinsi ya kutatua na siyo kutumia ubabe
 

Hakuna anayebisha kuwa CCM kwa asilimia 100 imechangia sisi kuibiwa, nasisitiza CCM ya kuanzia Mkapa na kuendelea.

Ila kuacha madini yaendelee kuibiwa kisa aliyeamua kusahihisha hayo makosa ni mwana ccm yuleyule ni upuuzi wa kiwango cha Phd. Familia yenu kuwa masikini ni kosa la baba yako...Ila familia utakayoanzisha wewe ikiwa masikini ni kosa lako.
 
Kama siyo sahihi wewe ni mtanzania kwa namna moja au nyingine hili swala linakuhusu toa ushauri siyo kulalamika tu na kukaa kimya
Usinichefue, Mlivyomfukuza Mnyika mlitaka Ushauri? Si mlikuwa Mkiimba Mtatawala milele na Tutasoma namba! Leo nyie ndio mashujaa na wazalendo hembu Go to hell
 
Kuna ten percent hapo siyo bure ninavyokuona mzungu unaweza hata ukamwachia mke wako
Na Magufuli huyu huyu alipopiga meza kisha kupigia kura, Miswada hiyo ya Kuiuza Tanzania, Yeye Kikwete, Mkapa na Wengine walipewa Asilimka Ngapi? Akina Yona na Mramba walipelekwa Jela Kwa Kulisababishia Taifa hasara, Basi Kama Kweli nyie washenzi ni Wazalendo kabla ya Kuhangaika na Mzungu wapelekeni waliowauzia Nchi Jela ndio Tutaona Mko serious. I swear Mkifanya hivi I will shut up na hata Wazungu watawaheshimu!

Vinginevyo ni Utumbo Mtupu. Na aache kulialia hakuna Dawa hospitalini wakati kwa Ujinga alichukua pesa bila hata Budget kununulia Vindege visivyo na tija ili Baadaye aligambe, "Nirinunua Ndege"
 
You know what Ngoja Niwaunge Mkono, Go Mh. Rais go, Fukuzilia Mbali hao Wazungu, hautoki Mchanga hapa. Wanatubia sana Washenzi hawa, "Sasa tunafaidika na Madini yetu" weeeeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…