Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!


We bwana umeandika we ila unaonekana ni mwanachama tu wa bavicha. Ukianza. Kumzungumzia chama katika Maendeleo ukisahau mbowe.zitto. Lisu nk nk wote walikuwa ni wanachama. Hai. Wa CCM. Hakuna mahali chama ndo kilileta Maendeleo. Its about political will. Nyerere alifanya Mengi sana kama foundation. Madini yote yalibaki. Tamaa ya Watu. Ndo imetufikisha hapa pengine hata mjomba wako kala sehemu ndo mana uko hapa na pumba zako. Je Rais asingeanza mngeongelea wapi. Kila hoja mnandia. Toa zako basi mpya kabla ya Rais hajaanza. Political will ndo tunahitaji. Wewe kwa maelezo yako unasifia mpka kenya. Unajua wewe wananchi wa kawaida wanavyoteseka. Unajua ukabila. Unajua uadui wa kanda .chukua uraia wa kenya mkuu. Kama hutaki shut up. Toa ushauri wa tija Tena anza na nyumbani kwako kwa maelezo yako ndo nyie mnathamini nyumba ndogo kuliko kwenu. Unadhani siasa ndo zitatukomboa. Uko tayari kuibiwa eti utafanana na Mugabe. By the way hakuna nchi iliyoendelezwa na nch nyingine. Wake up acha mbwembwe
 
Kabla hujaingia vitani fanya maandalizi. Ikiwa ni pamoja na kujua nguvu ya adui yako. Isiwe ni kuonekana na wewe umerusha risasi.
 
suluhisho ni bunge liombe mikataba yote ipitiwe upya. pia bunge likatae kupitisha mambo bungeni kwa mtindo wa dharura. wabunge wetu wamsaidie rais kwa kubadilisha sheria na sio vigelegele....
 
Haya makampuni ya madini yaliisaidia sana ccm ktk fedha za kampeni uchaguz uliopita leo ccm wanataka kutuambia wameshasahau fadhila walizopewa miaka 2 miwil tu iliyopita?
Wanataka watanzania tunufaike na rasilimali zetu.
 
Tunaongea mkono kwa lipi? Wenyewe wanadamu hawajatoa. Let them come forward and confess. Lakini pia mikataba ni mikataba suluhu ni kuwa renegotiate tu km alivyonegotiate prof sossy tunaangalia kulipwa 4% badala ya 3% za mwanzo and yet anatumia nje kama mbwa. Are we really serious?
 
CCM ndo wamesababisha haya yote. Walipitisha sheria mbovu bungeni na kusaini mikataba mibovu serikalini, halafu leo wanajiita WAZALENDO. Wamekosa mishipa ya aibu hawa wajinga.
 
kwa hiyo unatakaje tukae kimya?? mhhh!!
Suala LA kukaa kimya halitusaidii na halitamsaidia. Aitishe kikao hata cha mwezi mzima cha wanasheria nguli ikibidi hata wastaafu akae nao na kuisoma na kuichambua mikataba yote ya madini na nishati kutafuta kadosari ambako wakikang'ang'ania kitaweza kuifuta na kuiandika upya kwa maslahi ya wengi.
Vinginevyo, amsikilize Lissu tena kwani aweza kupata pa kuanzia. Hao kina Masaju ni pumba tu.
 
Ni sawa kusema lori limekwama kwenye tope halafu tunaemtegemea kulinasua ameamua kufungua kifaa kimoja kimoja, kashatoa tairi zote na milango kwenye tope sasa anafungua siti.
Ehee endelea embu kidogo.. Interested!
 


Kumtaja magufuli ni kumsingizia hapa.....aliyesaliti hii nchi ni Mkapa tena kwa kiasi kikubwa sana na kwa makusudi tu ili kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake huku akiwachagua baadhi ya wabunge (CCM) na mawaziri wake waunge mkono kauli yake. Mwingine ni Kikwete. Ikumbukwe, kila mara Kikwete alikuwa na desturi ya kutembelea migodi kuona biashara ya Mze wake inakwendaje. Kwa kweli katiba ya nchi yetu inabidi irekebishwe ili hawa marais wetu waliopita wakamatwe na kunyongwa kabla Mungu hajawachukua. LAZIMA hii ifanyike ili kuleta heshima nchini.
 
Uko sawa kabisa na hatuna ubishi juu ya hiyo mikataba mibovu iliyosainiwa na hawa viongozi wetu wasaliti, hoja ni ktk kiwango cha madini kinachobaki ktk mchanga unaosafirishwa kama makapi baada ya kuchekechwa dhahabu, kwa miaka mingi kumekuwa.na tuhuma toka kwa wadau mbalimbali kuwa mchanga huo unatumika kama mwanya wa kutoroshea dhahabu yenyewe na hata madini mengine jambo ambalo limethibitishwa na tume ya uchunguzi, sasa hatua ya Mh Magufuri kutekeleza mapendekezo ya tume ili Kuzuia wizi huo ina ubaya gani? na endapo huo mkataba unawaruhusu kuchukua hayo madini wanavyotaka wao sasa hao residence officers wanaoiwakilisha serikali kupitia TMA wanaowahonga usiku na mchana ili kuandika ripoti feki wa kazi gani huko migodini? Ni kweli kabisa ktk suala hili wawakilishi wote wa upande wa serikali zilizotangulia walikuwa corruptive isipokuwa Mh Magufuri anathubutu angalau kuwaonyesha wezi hawa wazoefu kuwa sasa rasilimali hii muhimu ina wenyewe. Umetoa mica no mizuri yenye kutahadharisha Taifa kupitia Hugo Chavez, Fidel Castro, Mugabe na hata Mwl Nyerere lakini kumbuka kuwa hawa wote ktk utekelezaji wa sera zao dhidi ya wawekezaji walikwenda mbali zaidi hata kufikia kiwango cha kuvunja mikataba, kutaifisha mali za wawekezaji na hata kuwafukuza, Mh Magufuri huko hajafika isipokuwa tunataka hivi sasa kuzuia exploitation hii ya ki wizi.
 
Ha ha ha haaaaaaaaaa

Hapa kazi tu

Magufuli oyeeeeeeeeeeee
Usisahau Kiwanda cha Tanganyika Packers cha Kawe kilitaifishwa miaka ya 70. Hadi Leo tumeshindwa kufanya kazi iliyokuwa inafanywa ya kuzalisha nyama ya kopo na kuuza nje. As a result eti eneo la kiwanda limeuziwa NHC akope ajenge nyumba za bei mbaya!. Ni sahihi matumizi haya badala ya kuendeleza kazi ya Kiwanda?
 
Kujadili hili ni upuuzi Mkapa na Karamagi ndio chanzo cha matatizo yote na majibu wanayo wao pia huu upuuzi kama ungetokea China muda huu wangekuwa wameshanyonga mtu.


Naunga mkono hoja.....hawa ndiyo wahusika wakuu pamoja na Kikwete, na inabidi wakamatwe wanyongwe, tena haraka sana kabla hawajajiua wenyewe. Haiwezekani nchi inaingia madeni ya kijinga na umasikini huku familia ya mtu fulani ikinufaika.
 
Number 7, nitamtetea Ghadafi milele, hakuishindwa nchi yake hata siku moja, alikuwa na utawala mathubuti..,,ALIVYO SEMA KUWA WAARABU WAUZE MAFUTA YAO KWA VIPANDE VYA DHAHABU BADALA YA DOLLAR PESA, MAANA DHAHABU UPATIKANA AFRICA KWA WINGI, HIVYO AFRICA NAYO INGEFAIDIKA..., mawazo kama hayo ambayo mzungu hataki sikia, ndipo mahujuma yakaanza! DEMOKRASIA UCHWARA UKAANZA! Wapumbavu wakaja juu kumtoa Ghadafi madarakani, sasa wapumbavu hao waliokuwa wanadai demokrasia wameishia kufia baharini na wengine watumwa wa hao hao wazungu! LIBYA NI MAHALI PA KUPATA FUNDISHO KWA AFRICA NZIMA! EHH MAULANA MOLA WETU ILINDE NCHI YETU TANZANIA NA NAKUOMBA MAADUI WOTE WA NCHI YETU YA TANZANIA WAFE WAO NA VIZAZI VYAO VYOTE, MAANA WEWE MWENYE ENZI MUNGU NDIYO UNAIJUA MIYOYO YA BINADAMU ULIYO WAUMBA ASANTE MOLA WETU KWA KUTUJALIA WATANZANIA BUSARA NA HEKIMA MILELE YOTE KATIKA JINA LA YAHUSHUA HA MASHAICH, AMUN RA
MWENYE ENZI MUNGU ASIPO ILINDA NCHI, WALINDAO WAKESHA BURE!
 
Kujadili hili ni upuuzi Mkapa na Karamagi ndio chanzo cha matatizo yote na majibu wanayo wao pia huu upuuzi kama ungetokea China muda huu wangekuwa wameshanyonga mtu.
Well said
 
Hii nchi itafika tu kwa mwendo wa push up na nguvu nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…