Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

Tujifunze jinsi ya kucheua mambo, hii tabia ya kuwa tukilishwa mambo basi hapo hapo tunacheua mwisho wake tutajikuta matumbo yanauma kwani hicho chakula kitakuwa hakijalainika sawa kwa ajili ya matumizi mwilini, ingefaa kama tukilishwa basi turudi zizini na sasa ndo tucheue na kutafuna taratibu.
 



Ma ccm wakiri hilo na kuliomba taifa msamaha, tutawaelewa! Hatujasahau zile kelele za Ndiyoooo na kebehi na wapinzani kufukuzwa bungeni!
 

Serikali makini haiwezi kumpa uongozi wa aina yoyote juu ya raia mtu mwenye Narcissistic Personality Disorder kama Gamble!. Ukona watu wasio tu wakisifiwa na kupandishwa madaraja, hapa kuna tatizo. Na hii ni dhahiri serikla imeamua kuwakomoa wananchi!.

Tukomboe michanga ili kina gumble waongeze nguvu za kudhalilisha na kuonea watu?

Serikali inapendwa na inaweza kupata uungwaji mkono wa dhati kama itaonyesha dhamira ya kweli ya kuacha kuwatumia watu kwa maslahi ya ccm na badala yake iwatumikie..

Kiburi cha ccm cha kudharau uwepo wa muhimili wa bunge, ndio umetufukisha hapa.

Kabla ya kuwachukia wanachi wanaotoa mawazo yao ya kukatishwa tamaa, seriklai ikiri kwamba imewakosea Watanzania kwa kutokuwatumikia, na badala yake imewatumia tena vibaya. Serikali ijitenge na chama cha mapinduzi ili mihimili mingine ifanye kazi zake kwa uthabiti na nia moja ya kujeng anchi badala ya kutetea chama.
 
Mnapinga jambo gani? upumbavu uliokithili umewajaa, tume haijamaliza kazi yake na wala haijawasilisha chochote kwa Rais ajabu kila uchao mijitu inabwabwaja utumbo tu humu, hivi nikikuuliza Magufuli kufanya nini au kachukua uamuzi gani kuhusu hili saga usouunga mkono utanijibu nini?
 
Uelewa we Gwajima umenistua.hajui hiyo into anayo ongealea kwa kuitaja hata nyanya yake aliongea hivyo n.a. wakati huo tulikuwa watanzania wangapi?
Anajua sababu ya kukauka mito mingine n.a. mingine kuwa seasonal.Umasikini ndiyo sababu
Mito imelemewa miti imelemewa nenda geita dhahabu imeelemewa hata uvuvi imelemewa ardhi imeelemewa hatuko umbali n.a. maafa swala ni how to make them sustanable ni lazima tuwekeze kwenye man-made activities kama viwandaa nk.na extrction ya natural resource lazima tuziwe kee miundombinu ili iwe sustainable.wamisri wana miundombinu ya umagiliaji ya mto nile ndiyo maana toka tunakua tuna sikia watumia umwagiliaji huo saserikali yao imewekeza.hawa unaosema wamerogwa bora warogwe hivyohivyo ukiwaagua wakefanye umwagiliaji kwenye hiyo miaka mitano mingi utasikia ukunga maji yamekauka mamba n.a. viboko wanakufa.
 
kwa hiyo unatakaje tukae kimya?? mhhh!!
Hapana. Usikae kimya. Mshauri Magufuli atumie akili zaidi na majadiliano na wazungu wawekezaji. Wazungu walishatuweka mtegoni. Hatuhitaji nguvu nyingi na kisirani kujinasua.Ni busara na mijadala. Tukilazimisha mambo yapinduke wakati kuna mikataba tunaigeuka tutaumia sisi.
Hakuna anayependa kunyonywa na kuibiwa. Ni mbinu ya kumkabili mwizi wako ndiyo si sahihi. Ukimkamata mwizi wako usijichukulie sheria mikononi kwani sheria hiyohiyo itakurudi.
 
Tukiendelea kulumbana.
Hatutafika popote.
Kama mnavyojua viongozi wao hawana hasara.
Wakiamua wanaweza wakakaa kimya.alafu wakawaacha waendelee kuiba.maumivu tutayapata sisi.
Sasa inapotokea rais amejitoa kwa ajili ya hili ebu tumuunge mkono,
Kwani magufuli asipo angaika na ili 2020 hatopata tiketi ya kugombea urais?
 
Marandu tapeli kama Gwajima achana nazo! Usijibizane na mtu kama hizo. matapeli wa roho za masikini. Watu waliokosa matumaini ya kuzaa, mahanisi and the like anawadanganya kuwa atamaliza shida zao kwa kuwatapeli. achana kumjibu tapeli wa dini!
 
Siasa Kwanza nchi baadaye ndo matunda yk yanaoneka ss wacha wajanja wale nchi ht mukistuka madini gesi misitu wanyama pori na ht mlima k'njaro wote umeuzwa kwa wakenya, poleni sana
 

HUWA NINA CHOSHWA KUONA AKILI INATAWALIWA NA HISTORIA

HIVI AKILI HIO HUWEZI KUITUMIA IKAWA HISTORIA??

Uvivu wa Kufikiri
Asante kwa kutuchosha na kusoma mawazo ya Hostoria
 
Hakuna asiyejua kuwa tulikosea zamani, lakini hiyo siyo sababu ya kutokurekebisha tulipokosea!.

Halafu hii tabia ya kuogopaogopa Westerners uache, maana hizo nchi zote ambazo Mabepari walizishambulia, walitumia wachumia tumbo, wasaliti wa ndani ambao fikra zao zimekuwa westernized, au wale waliokuwa brainwashed na slogan za Democracy, na wengine wakiwa ni opportunists wanaonyemelea serikali ziangushwe wao ndo wakamate dola!

Hebu Muunge mkono JPM kwanza ili kutuma meseji kwa hao wawekezaji kuwa tuko kitu kimoja kama nchi, halafu ukweli mchungu tutaelezana ndani kwa ndani kwenye vikao.
 


Marekebisho

2) ni IMF sio IFM

5) Chanzo cha Matatizo ya Iraq na Saadam kwa Ujumla yalianzia 1990 kwa kuivamia Quwait sio hayo uliyoeleza

Asante kwa Rekebisho IMF(International Monetary Fund) sio IFM( Institute of Financial Management) Kwa hili la Iraq, baada ya Sadam kutoa Taarifa ya Kurasa elfu 11 kuonyesha Hana Nyukilia au WMD Wamarekani walishinikiza Aruhusu Upekuzi Usiokuwa na Mipaka, Kinyume na Matarajio yao Afdskakubali, walitaka akatae wapate Kisingizio! Alivyokubali wakamhonga Wakaguzi wakuu Blix na Mohamed Baradei. Akatoa Ripoti kuwa Ukaguzi hauna Uhakika. In short walichokifuata Iraq ni Visima ambavyo hapo mwazk vilikuwa vyao! Walijua Sadam baada ya kuwa na beef naye Akiwa Clean na Kuondolewa Vikwazo Patna wake Mkubwa wa Kibiashara angekuwa Ufaransa! Mnakumbuka Ugomvi mkubwa Uliozuka kati ya Ufaransa na US 2003? Hapa US mpaka Frech Fries walizibadilisha Jina na kuviita Freedom Fries ( hizi ni chips kuku) Na mara tu baada ya serikali ya Iraq Kuanguka wakamweka Mtawala wa Muda aliyeitwa Brama na Jukumu lake la Kwanza lilikuwa Kubinafsisha Visima vya Mafuta yaani Walivitchukua kwa. Kujifanya ni Kujiuzia (Chevron na Texaco)

Sasa Mnaweza Kuona Kama Visima vya Mafuta Iraq Tangu Mwanzo. vingekuwa chini ya Makampuni Binafsi, Na serikali ikachukua Kodi na Royalty Kusingekuwepo hata hiyo Vita.

Dunia kuna Inavyoonekana Kijuujuu na Kuna Shadowy Forces ambazo they are very powerful they Put Politicians in Power and mainly for the benefit of their Corporations, If you dare stand in their way or ,humiliate them! May God have mercy on your soul these individuals smile! But they do not forgive nor forget!
 

Hatusemi asingefanya kitu tunasema alikurupuka na kujifungia Milango ya hatua ambazo zingekuwa salama na sahihi. Nachojiuliza alitkuwa na Lengo moja pekee au pia alitaka sifa! Maana ndio hulka yake! Basi hata kama lengo lilikuwa Zuri kalikoroga big time kwa kufactor in element hiyo ya kutaka sifa!
 
Nimenyoosha Asante! I am a little Weak in that area!
 
Dhambi ya Rais iko wapi katika kujisahisha.. Mbona kichwani tumejaza upumbavu(maana ya upumbavu inajulikana)

Kipindi cha kampeni mlisema JPM hawezi kuibadili Nchi, tatizo mfumo, yote kaweza, mlisema atazuiwa na CCM, mlivyokosa haya.. Kaibadili CCM sasa (CCM mpya, Tanzania mpya)
 
Kosa ni Kuwafanyia Wamarekani na Wakanada Uhuni kama Anavyowafanyia Chadema na CUF, kwa vile tu tunapunjwa Huwezi kujifanya Unakiuka Mikataba na Sheria Kichwa Kichwa. In short Ningekuwa namnilia Mabaya, If I really wanted him to fail akifanya Makosa kama haya ningempa high Five. Kwa Kuwa naju mwisho wake sio mzuri.
 
Nimetafuta neno Gwajima kwenye post ya kwanza ya uzi huu bila mafanikio!
 
Yaani ukizaliwa ukawa na akili kama yako LEMUTUZ ni hasara sana, sasa unachekelea nini?/akili yako muda wote kuwaza tumbo tuu. Unashida sana wee

Ha ha ha haaaaaaaaaaa

Acha niwacheke tu, nyie mlio....

Eeeeeh na mtazidi kuisoma namba na kusaga meno msipotaka kunyooka. Mlishushukaaaaaaaa eeeeh, hii ni awamu ya tano... hivi na sadaka mlitoa au!!!? eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…