I Idofi JF-Expert Member Joined Dec 14, 2010 Posts 2,294 Reaction score 2,007 Mar 21, 2017 #61 shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... kweli kabisa awamu ya kina ngosha hii wacha watambe
shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... kweli kabisa awamu ya kina ngosha hii wacha watambe
looly Senior Member Joined Sep 14, 2015 Posts 183 Reaction score 99 Mar 21, 2017 #62 shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... Yaani ni kwi kwi
shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... Yaani ni kwi kwi
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Mar 21, 2017 #63 Clouds redio kwa Arusha ni ngapi?
looly Senior Member Joined Sep 14, 2015 Posts 183 Reaction score 99 Mar 21, 2017 #64 Borderlandz said: Gwajima ni mwamba aisee Click to expand... Sana
O Ototo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 1,260 Reaction score 1,167 Mar 21, 2017 #65 shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... Sio watatu wa nne, bila kumsahau msukuma acha watwangane kwanza maana wamezidi unafiki
shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... Sio watatu wa nne, bila kumsahau msukuma acha watwangane kwanza maana wamezidi unafiki
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Mar 21, 2017 #66 Mtumishi anasemaje huko mawingu clouds
M MASIKITIKO JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 959 Reaction score 429 Mar 21, 2017 #67 Mwana said: Ameenda na cheti cha DNA cha mwanae au? Click to expand... Akapime na wewe?
mindpower JF-Expert Member Joined Oct 1, 2016 Posts 1,049 Reaction score 1,213 Mar 21, 2017 #68 shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... Wanatuigizia futuhi la usukumani , kitwanga nae anatamani kuingia ndan ya futuhi ili wawe wanne,
shiu yang said: Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu Click to expand... Wanatuigizia futuhi la usukumani , kitwanga nae anatamani kuingia ndan ya futuhi ili wawe wanne,
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Mar 21, 2017 #69 Pawaga said: https://www.facebook.com/ Click to expand... hahaha hii ni vita kati ya makonda clouds na magufuli
Pawaga said: https://www.facebook.com/ Click to expand... hahaha hii ni vita kati ya makonda clouds na magufuli
Nyenyere JF-Expert Member Joined Sep 9, 2010 Posts 14,842 Reaction score 10,765 Mar 21, 2017 #70 Justice minister said: Adui wa adui yako ni rafiki yako. Click to expand... Haya yanasemwa na kubaki madhabahuni. Tukiingia kitaa, bampa kwa bampa
Justice minister said: Adui wa adui yako ni rafiki yako. Click to expand... Haya yanasemwa na kubaki madhabahuni. Tukiingia kitaa, bampa kwa bampa
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,291 Mar 21, 2017 #71 Asituulize tena nani anampa kiburi Makonda, nadhani anapaswa kupeleka mashabulizi kwa rais kama kweli anazaa.
Asituulize tena nani anampa kiburi Makonda, nadhani anapaswa kupeleka mashabulizi kwa rais kama kweli anazaa.
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,107 Mar 21, 2017 #72 Tutayamaliza kwenye vikao vya mila ondoeni hofu. cc. Mtemi Joka lenye makengeza.
B Bernard bakari JF-Expert Member Joined Mar 30, 2016 Posts 407 Reaction score 781 Mar 21, 2017 #73 "Chuma hunoa Chuma", "Wameliamsha dude", "Single touch Double manifastation" "Nazaa, Mwanaume kuzaa" ni baadhi tu ya nukuu ya Baba Askofu Gwajima
"Chuma hunoa Chuma", "Wameliamsha dude", "Single touch Double manifastation" "Nazaa, Mwanaume kuzaa" ni baadhi tu ya nukuu ya Baba Askofu Gwajima
kson m JF-Expert Member Joined Jan 24, 2014 Posts 6,682 Reaction score 3,066 Mar 21, 2017 #74 Mwana said: Ameenda na cheti cha DNA cha mwanae au? Click to expand... Ameenda na cha yule gaidi mvamia vituo !
Mwana said: Ameenda na cheti cha DNA cha mwanae au? Click to expand... Ameenda na cha yule gaidi mvamia vituo !
C chifu77 JF-Expert Member Joined Aug 2, 2014 Posts 902 Reaction score 597 Mar 21, 2017 #75 Valentina said: Clouds redio kwa Arusha ni ngapi? Click to expand... Ni utani tu mkuu, nenda kalime achana na hii mitandao
Valentina said: Clouds redio kwa Arusha ni ngapi? Click to expand... Ni utani tu mkuu, nenda kalime achana na hii mitandao
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,984 Reaction score 11,794 Mar 21, 2017 #76 Wewe ndio akili yako ipo sawa. Kwanini sasa alianza kuhangaika na kutengeneza skendo ya yule Mama kuwa kazaa na Bishop, akalazimisha kipindi kiruke hewani ili amchafue na mwisho wa siku akaamua asambaze video ya mahojiani kwa kutumia ngivu nyingi. Metsada said: ulishawai kuona tembo anamuogopa chura????? nadhani akili yako haiko sawa Click to expand...
Wewe ndio akili yako ipo sawa. Kwanini sasa alianza kuhangaika na kutengeneza skendo ya yule Mama kuwa kazaa na Bishop, akalazimisha kipindi kiruke hewani ili amchafue na mwisho wa siku akaamua asambaze video ya mahojiani kwa kutumia ngivu nyingi. Metsada said: ulishawai kuona tembo anamuogopa chura????? nadhani akili yako haiko sawa Click to expand...
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 42,512 Reaction score 94,652 Mar 21, 2017 #77 Mr. Tanzania
makedonia JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 4,339 Reaction score 3,620 Mar 21, 2017 #78 Odili said: Bashite akichungulia hii thread atatamani kunya boga. Click to expand...
famicho JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,218 Reaction score 2,919 Mar 21, 2017 #79 Gwajima lipuaaaaaaaaaaa
Ronal Reagan JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,298 Reaction score 3,060 Mar 21, 2017 #80 Pawaga said: https://www.facebook.com/ Click to expand... Hii episode inaelekea kutamu sasa. Clouds na Gwajima wapi na wapi?
Pawaga said: https://www.facebook.com/ Click to expand... Hii episode inaelekea kutamu sasa. Clouds na Gwajima wapi na wapi?