Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
Kamtupia Kombora mwenye ChigodaIla Gwajima simuelewi
Kamtupia Kombora mwenye ChigodaIla Gwajima simuelewi
Mbio zimeanza, wa kwanza ndio mshindi😂Askofu Gwajima, mbunge wa CCM, na kiongozi wa Kanisa la Uzima na ufufuo amesema kuwa nchi haina haki, maisha ya mwanadamu hayathaminiwa. Akasema hakuna sababu ya kuteka watu. Akauliza ni kwa nini maisha ya mtanzania hayathaminiwi?
Ameendelea kusema kuwa mitungi yote ya gas tunayoiona, hakuna hata wa kampuni moja uliojazwa gas ya Tanzania. Akauliza, ni kwa nini?
Anasema kuwa nchi ina mapepo.
Najiuliza: hayo mapepo yapo kwa viongozi au watanzania wote? Hayo mapepo tutayaondoaje?
Hii nchi ni nani aliyeridhika na yanayoendelea? Maana wananchi wanalalamika (isipokuwa machawa), viongozi wa siasa wanalalamika (isipokuwa viongozi machawa), viongozi wa dini wanalalamika.
Kama sote tunalalamika, nani wa kuchukua hatua kuyaondoa tunayoyalalamikia?
Msikilize Gwajima:
View attachment 3312812
Kwanza hakuna anaetaka watu watekwe lakini huyu mnafiki wakati utekaji umeanza kipindi kile hakuwahi ongea.ChoiceVariable na chiembe wakiona hii povu litawatoka sana.
Soka yuko wapi?Kwanza hakuna anaetaka watu watekwe lakini huyu mnafiki wakati utekaji umeanza kipindi kile hakuwahi ongea.
Hii Sasa ndio maana ya 4R za Samia watu wako huru.
Hata Mimi sijui.Utekaji umeanza awamu ya 5 bila 4R za SSH huyu asingethubu kupanua mdomoSoka yuko wapi?
Ali Kibao yuko wapi?
Lissu yuko wapi?
Maria yuko wapi?
Alitumia hekima kufikisha ujumbe kupite kolomije scenario sema magu naye alikaza sana hakusikilizaHukuwepo nchini wewe, kupitia huyu tukijua kitu inaitwa KOLOMIJE nk, kafatilie hilo
Maswali magumuSoka yuko wapi?
Ali Kibao yuko wapi?
Lissu yuko wapi?
Maria yuko wapi?
Tena siasa za ccmMtu akishakuwa mwanasiasa sio wa kuaminiwa tena
Kuteka watu ni sera ya awamu ya 6. Nasikia CCM wataiweka rasmi kwenye ilani yao ya uchaguzi.Askofu Gwajima, mbunge wa CCM, na kiongozi wa Kanisa la Uzima na ufufuo amesema kuwa nchi haina haki, maisha ya mwanadamu hayathaminiwa. Akasema hakuna sababu ya kuteka watu. Akauliza ni kwa nini maisha ya mtanzania hayathaminiwi?
Ameendelea kusema kuwa mitungi yote ya gas tunayoiona, hakuna hata wa kampuni moja uliojazwa gas ya Tanzania. Akauliza, ni kwa nini?
Anasema kuwa nchi ina mapepo.
Najiuliza: hayo mapepo yapo kwa viongozi au watanzania wote? Hayo mapepo tutayaondoaje?
Hii nchi ni nani aliyeridhika na yanayoendelea? Maana wananchi wanalalamika (isipokuwa machawa), viongozi wa siasa wanalalamika (isipokuwa viongozi machawa), viongozi wa dini wanalalamika.
Kama sote tunalalamika, nani wa kuchukua hatua kuyaondoa tunayoyalalamikia?
Msikilize Gwajima:
View attachment 3312812
Aliuelewa mchakamchaka wake, shida iko wapi,Awamu ya tano hakuyasema haya
Watu wapumbavu wanapenda kujifichia kwenye diniMuambieni aache udini 😀
Wanaomfata kiongozi huyu kanisani mwake wajitathmini tena. Wakapimwe mkojoAwamu ya tano hakuyasema haya