GWAJIMA atimba mjengoni anawasikiliza

GWAJIMA atimba mjengoni anawasikiliza

Nuru na giza wapi na wapi mazee...??

Nuru ikiingia, giza lazima likimbie....

Hapo alipokaa utkufu wa nuru ya Yesu Kristo umemzunguka na kumfunika na kung'aa..

Wana wa kuasi (wabunge wenzake wa CCM) waliuona huo utukufu, wameiona hiyo Nuru juu ya Masihi na Mtumishi wa Bwana atengenezaye njia ya ukombozi wa Tanganyika, wakamgwaya, wakakimbia viti vyao na midomo yao michafu ikafumbwa na Roho Mtakatifu...!

Wewe unafikiri haya 👇👇👇ni maneno ya mtu timamu au ni shetani mwenyewe kutumia kinywa cha mtu huyu kufyatua uchafu huu..?
View attachment 3347934
Inasikitisha sana tena sana kwa Baba kama huyu na heshima yake kuongea vile kiukweli inakatisha tamaa na kuamsha roho ya mapambano dhidi ya tabaka la walamba asali huyu bwana ni wazi kuna kitu ananufaika sio bure
 
We kwl ni zuzu, eti wameufyata, nani wa kumwoga huyo tapeli, acheni ushabiki wa kidwanzi
Ushabiki wa kidwanzi unauleta wewe hapo na tamaa zako zinazokupwita mtu kusema ukweli kwako wewe ni makosa sio?Gwajima amekosea nini jibu vitu kwa hoja sio unakurupuka tu kama kasongo
 
Mods mnazingua...
IMG_20250527_185520.jpg
 
Ndio wameambiwa wamtenge 😂😂
 
Mungu awe nawe Dk.Gwajima bishop mkuu w ufufuo n uzima peleka moto tu.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Huku ndio alipaswa aongee sio kukaa kimya wananchi walikutuka uende ukawasemee ndani ya bunge sio kutafuta umaarufu nje ya bunge
Unafikiri hili bunge la vilaza lingempa muda wa kuongea ukweli aliouongea ?
 
Back
Top Bottom