GWAJIMA atimba mjengoni anawasikiliza

GWAJIMA atimba mjengoni anawasikiliza

Amfifilo Atinga Bungeni Dodoma Anawa Zoom Tu
 
Tecno zinajua kuaibisha
aisee kuna wakati nilikuwa natumia tecno siku nikamtumia sis sms sasa si nikaandika kuna, kumbe yenyewe imeshajiongeza na ku...ma, pona yangu niliirudia ile sms kabla ya kutuma, yaani sijui ningeonekanaje tu, ndo fasta nikafanye setting ikaacha huo mchezo
 
Kwenye benchi lake hakuna hata mmoja alie karibu naye 😂
Nuru na giza wapi na wapi mazee...??

Nuru ikiingia, giza lazima likimbie....

Hapo alipokaa utkufu wa nuru ya Yesu Kristo umemzunguka na kumfunika na kung'aa..

Wana wa kuasi (wabunge wenzake wa CCM) waliuona huo utukufu, wameiona hiyo Nuru juu ya Masihi na Mtumishi wa Bwana atengenezaye njia ya ukombozi wa Tanganyika, wakamgwaya, wakakimbia viti vyao na midomo yao michafu ikafumbwa na Roho Mtakatifu...!

Wewe unafikiri haya 👇👇👇ni maneno ya mtu timamu au ni shetani mwenyewe kutumia kinywa cha mtu huyu kufyatua uchafu huu..?
IMG-20250527-WA0016.jpg
 
Huku ndio alipaswa aongee sio kukaa kimya wananchi walikutuka uende ukawasemee ndani ya bunge sio kutafuta umaarufu nje ya bunge
 
Huku ndio alipaswa aongee sio kukaa kimya wananchi walikutuka uende ukawasemee ndani ya bunge sio kutafuta umaarufu nje ya bunge
Unadhani angeruhusiwa kuongea kama alivongea, basi hata dk 1 moja isingepita angekua amezimiwa maiki
Kwahiyo tumia ndonga yako vizurii kufikiri
 
Back
Top Bottom