Gwajima akipepea bendera ya taifa Teule amfufua aliyekufa

Gwajima akipepea bendera ya taifa Teule amfufua aliyekufa

Nani alithibitisha amekufa??
Wale wanaopiga chafya mortuary na wamethibitishwa kufa Huwa ni nn?

In short, hayupo daktari wa kuthibitisha kifo sababu hawajui Roho IPO au haipo, imetoka au imo!!
 
Upuuzi na ujinga wa viwango vyote.Tutaendelea lini sisi ?? tuamke waafrika..Juzi kati hapa nikaona clip ya Pasta mwingine katika nchi fulani eti anawanyoa akina Dada nywele za sehemu za siri katika nyumba yoa ya ibada ili kuwabariki huku akitaja jina l Bwana. Jamami ,Jamani Jamani,ndiyo tumefikia hapa?

Wajinga watu. EvilSpirit au nasema uongo?
 
Daah Gwajima kafika mbali sana aisee sijui amewaza nini na kuamua kufanya hicho kituko..
 
Halafu kwa mbali naiona,Bendera ya Wayahudi waliomtesa Yesu na kumsulubu ikipepea!

😀😀😀😀
 
Wapinga Kristo watabisha na kusema huo muujiza ni maigizo
Mtu akifa si mnasema Mungu alimpenda zaidi? Kwa nini unataka muujiza wa kumfufua aliyekufa kwenye stage? Kwani akienda makaburini huyo mchungaji anakuwa hawezi kumfufua maiti?
 
Kabisa

Sijui kwanini Serikali hadi sasa imeshindwa kuwadhibiti hawa Mitume na Manabii feki Kwa utapeli waufanyao kwenye jamii zetu 🙌
Ndo wanafurah manake wengi wanapumbazwa huko wanajua hii nchi ikiombewa ndo matatizo yataisha yale yale ya marehemu kila siku niombeeni nipambane na mafisadi huku 1.5 trillioni hazina mahesabu
 
Back
Top Bottom