Gwajima anafufua waliokufa? Dah baba yake bado yupo hai? Kama kafariki kwanini asimfufue? Wakiristo hamjifunzi tu Kenya na kibwetere wa Uganda? Kesho anaweza kuwambia wafuasi wajitie kitanzi yeye atawafufua wakamsikilizaBila shaka hii ni kuelekea uchaguzi mkuu:
View attachment 3096549
Bila shaka itakuwa ni habari njema sana hii kwa wale wa Israel wa kwetu.