Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,904
- 6,230
Lisanii sana hili jamaa
Hatari aisee 🙌Ndo wanafurah manake wengi wanapumbazwa huko wanajua hii nchi ikiombewa ndo matatizo yataisha yale yale ya marehemu kila siku niombeeni nipambane na mafisadi huku 1.5 trillioni hazina mahesabu