Gwajima akipepea bendera ya taifa Teule amfufua aliyekufa

Gwajima akipepea bendera ya taifa Teule amfufua aliyekufa

Our churches
1726410794336.png
 
Hapa ndio nimemkumbuka rafiki yangu wa muda mrefu Wakujamba Kajamba
 
Haya mambo yana tofauti gani na ya kiboko ya walozi.
 
Bila shaka hii ni kuelekea uchaguzi mkuu:

View attachment 3096549

Bila shaka itakuwa ni habari njema sana hii kwa wale wa Israel wa kwetu.
Ni moja ya mambo ya aibu sana kwa mtu yeyote asiye na tatizo la akili kuweza kuwepo hapo kanisani na kufuatilia tukio hilo.

Labda tuseme hii inaweza kutumika kama kipimo cha kutambua watu wenye matatizo ya akili
 
Tatizo !ijini wanakwenda wengi ila akili wanaziacha vijijini. Angalia sana ukienda mjini.
 
Ukiwa serious sana hapa Tanzania, maisha yatakuwa yanachukiza sana.

Bora tujitazamie tu haya mengine, laugh it off, na kuendelea kuwahamasisha waafrika wenzetu waachane na ujinga wa dini za kuja hizi.
 
Vipi kama marehemu wakati wa uhai wake alikuwa mcha Mungu, hivyo alipofariki akaenda mbinguni/peponi, anapofufuliwa anaondolewa huko mbinguni/peponi au ni mwili tu unarudishwa bila roho? Najiuliza tu
 
Back
Top Bottom