Gwajima akipepea bendera ya taifa Teule amfufua aliyekufa

Gwajima akipepea bendera ya taifa Teule amfufua aliyekufa

Unawezaje kutofautisha Kifo cha huyo binti ni cha kichawi halafu cha Mama yake Gwajima kilikuwa Kifo halisi?
Ni Jambo la kiimani Kama umewai kuishi maeneo ya Kanda ya ziwa matukio ni mengi Sanaa pia hata kigoma Kuna VIZIKA WAZIMA.

NB.
Kwa uzoefu wa Maisha yangu hapa duniani nimeona na nimeshuhudia mengi itoshe kusema Kuna mengi na mengineyo hatuyajui.

UCHAWI, USHIRIKINA,MAKAFARA,MISUKULE, MAJINI,MIZIMU,WACHAWI,MUNGU, MALAIKA ni vitu halisi na vipo.
 
Bila shaka hii ni kuelekea uchaguzi mkuu:

View attachment 3096549

Bila shaka itakuwa ni habari njema sana hii kwa wale wa Israel wa kwetu.
ujinga gani huu. Eti ndio mbunge wa kawe. kuna watu wanakufa mashuhuri kwa taifa siangewafufua. Tulilia sana kama taifa kwa kufiwa na magufuli na yeye gwajima alikuepo. Juzi tu hapa kafa Kibao imeleta kutoelewana watu na yeye gwajima yupo. Nachukia sana hawa wanaopiga pesa kwenye imani kwa kuzidi kuwapumbaza wananchi kwa imani kwenye miujiza badala ya kuishi kwa kujiamini na kufanya kazi. Kuna wengi wanapoteza maisha kwa ugonjwa kwa kwenda kwanza kwenye miujiza badala ya hospitali wakati hizo shoo za kina gwajina ni za kupanga tu na ni uongo.
 
Ni Jambo la kiimani Kama umewai kuishi maeneo ya Kanda ya ziwa matukio ni mengi Sanaa pia hata kigoma Kuna VIZIKA WAZIMA.

NB.
Kwa uzoefu wa Maisha yangu hapa duniani nimeona na nimeshuhudia mengi itoshe kusema Kuna mengi na mengineyo hatuyajui.

UCHAWI, USHIRIKINA,MAKAFARA,MISUKULE, MAJINI,MIZIMU,WACHAWI,MUNGU, MALAIKA ni vitu halisi na vipo.

Mkuu na humo kwenye mashaka yako ndimo wanapopitia.

Hadithi za wadada wenye kwato. Nani hajawahi kuzisikia?

Ulizia waliowahi kuona.

Na hapo ndipo hadithi inapo kwishney!
 
ujinga gani huu. Eti ndio mbunge wa kawe. kuna watu wanakufa mashuhuri kwa taifa siange wafufua. Tulilia sana kama taifa kwa kufiwa na magufuli na yeye gwajima alikuepo. Juzi tu hapa kafa Kibao imeleta kutoelewana watu na yeye gwajima yupo. Nachukia sana hawa wanaopiga pesa kwenye imani kwa kuzidi kuwapumbuza wananchi kwa imani kwenye miujiza badala ya kuishi kwa kujiamini na kufanya kazi. Kuna wengi wanapoteza maisha kwa ugonjwa kwa kwenda kwanza kwenye miujiza badala ya hospitali wakati hizo shoo za kina gwajina ni za kupanga tu na ni uongo.

Ajabu na kweli serikali inakaa kimya!

Fika Muhimbili, Mloganzila au Ocean road huko kuona wagonjwa waliocheleweshwa mno wakati mapema wangewahi wangepona.

Kuachwa waganga wa kienyeji au hawa ndugu ku exploit watu "kiboko ya wachawi style" serikali haiwezi kujivua uwajibikaji.
 
Mkuu na humo kwenye mashaka yako ndimo wanapopitia.

Hadithi za wadada wenye kwato. Nani hajawahi kuzisikia?

Ulizia waliowahi kuona.

Na hapo ndipo hadithi inapo kwishney!
Kama una nafasi fanya research ndogo then tupe mrejesho..

Chukua kisu kikali chukua kuku chinja fasta kwa kuondoa kichwa alafu mwachie fanya kwa kuku wa 3 na kuendelea..

Kisha angalia staili ya watakavyo kufa kiubavu ,Chali, kifudi fudi Kisha njoo utupe mrejesho.

Nina maana yake kukupa hii assignment 😊

Wasalaam.
 
Gwajima anataka kushika headlines baada ya kuona chadema na maandamano vinachukua headlines🤣🤣.
Hizi kanisabiashara zinajaa mjini mpaka wawekezaji Toka nje wanakimbilia TZ.
Unaanza na mabanzi waumia wanakuletea turubai huku wewe ukijijengea mahoteli na mauwekezaji Yako kilakona baadae unawajengea kanisa kama shukraan kwakukupa utajiri!!
 
Kama una nafasi fanya research ndogo then tupe mrejesho..

Chukua kisu kikali chukua kuku chinja fasta kwa kuondoa kichwa alafu mwachie fanya kwa kuku wa 3 na kuendelea..

Kisha angalia staili ya watakavyo kufa kiubavu ,Chali, kifudi fudi Kisha njoo utupe mrejesho.

Nina maana yake kukupa hii assignment 😊

Wasalaam.

Hakuna research hapo.

Kufa ni kufa tu hata nani alalie wapi.

Hakuna kilichohai kitakacho acha kufa.

Kufa ni once declared brain dead.
 
Bila shaka hii ni kuelekea uchaguzi mkuu:

View attachment 3096549

Bila shaka itakuwa ni habari njema sana hii kwa wale wa Israel wa kwetu.

Ameanza tena utapeli wake!?

Kwa nini hakumfufua Magufuli walau hata kujaribu tu.

Huu ni UHUNI at its best. Halafu anamtumia mtoto mdogo kuhalarisha huo Uhuni wake.
 
Bila shaka hii ni kuelekea uchaguzi mkuu:

View attachment 3096549

Bila shaka itakuwa ni habari njema sana hii kwa wale wa Israel wa kwetu.
Duh...!, kiukweli hizi sanaa za maigizo zitatufikisha papaya!. Halafu kuna mijitu mijinga kabisa inaamini usanii huu!, lile tukio tulilotangaziwa ile tarehe 17, lilitokea tarehe 12!, hiyo mijitu mijinga ikaingizwa kingi eti jamaa kasema atamfufua, we had to wait for 5 good days!, hakuweza!.
Niliwahi kuuliza Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais
P
 
Bahati mbaya alipofariki Mama yake Mzazi, huyo huyo Gwajima alishindwa kumfufua hadi leo hii anaomboleza Msiba wake

Wajinga ndiyo waliwao
Kuombea mtu akafufuka ni mapenzi ya Mungu sio ya Gwajima, hivyo Kwa mama yake Mungu alihamua hivyo huwezi kumuhoji Mungu
 
Kwa umati huu this was Sunday indeed.
Je, nursery ya wapi Sunday inakusanya wanafunzi?
Ok. Mungu mkuu .
Utukufu wake yeye
 
Back
Top Bottom