Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

Acha mtumishi wa mungu awanyooshe wezi wa vyeti kama Makonda na wanaomtetea wengi nati zimelegea
 
Msajili wa taasisi(The Registrar of Societies) ana wajibu wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi ambayo imeacha kutekeleza malengo ya kusajiliwa kwake, na kujivika joho la jukwaa la kisiasa na la uchochezi. The Regisrar aforementioned must take actions against such breach of terms of registration. Kila jumapili mahubiri ni Makonda Makonda, Why? Gwajima anatakiwa kuwahubiri watu wake NENO la Mungu, siyo majina ya watu. Furthermore, the police force must take action against such offender who always preach VIOLENCE. Uchochezi ni kosa la jinai. Kuhubiri kila siku majina ya watu ni uchochezi ambao ukiachwa hivihivi utasababisha uvunjifu wa amani. Ombi:Taasisi husika zitoe stop order kwa Gwajima, asiendelee tena kuhubiri watu ndani ya kanisa na wakati wa ibada. Who is he to be allowed to continue violating the law of the Land?
Mahubiri yake ya Jana yameniacha hoi na siamini Kama police wako serious kwani huyo mchungaji ana sumu mbaya ambayo nyumba za ibada hazijawahi ku practice tangu uhuru acha ugani wake kanisani anaingilia privacy to the extent angekuwa nchi za watu jasho lingemtoka. Kwa nchi wastaarabu hata kutaja tu details zangu jina na address hadharani nitadeal na wewe perpendicular sembuse anavyopakua details za watu in public kweli? Do we have orders up there ? Tunaenda pabaya
 
Msajili wa taasisi(The Registrar of Societies) ana wajibu wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi ambayo imeacha kutekeleza malengo ya kusajiliwa kwake, na kujivika joho la jukwaa la kisiasa na la uchochezi. The Regisrar aforementioned must take actions against such breach of terms of registration. Kila jumapili mahubiri ni Makonda Makonda, Why? Gwajima anatakiwa kuwahubiri watu wake NENO la Mungu, siyo majina ya watu. Furthermore, the police force must take action against such offender who always preach VIOLENCE. Uchochezi ni kosa la jinai. Kuhubiri kila siku majina ya watu ni uchochezi ambao ukiachwa hivihivi utasababisha uvunjifu wa amani. Ombi:Taasisi husika zitoe stop order kwa Gwajima, asiendelee tena kuhubiri watu ndani ya kanisa na wakati wa ibada. Who is he to be allowed to continue violating the law of the Land?

Mwambie alete vyeti aache blah blah
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Msajili wa taasisi(The Registrar of Societies) ana wajibu wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi ambayo imeacha kutekeleza malengo ya kusajiliwa kwake, na kujivika joho la jukwaa la kisiasa na la uchochezi. The Regisrar aforementioned must take actions against such breach of terms of registration. Kila jumapili mahubiri ni Makonda Makonda, Why? Gwajima anatakiwa kuwahubiri watu wake NENO la Mungu, siyo majina ya watu. Furthermore, the police force must take action against such offender who always preach VIOLENCE. Uchochezi ni kosa la jinai. Kuhubiri kila siku majina ya watu ni uchochezi ambao ukiachwa hivihivi utasababisha uvunjifu wa amani. Ombi:Taasisi husika zitoe stop order kwa Gwajima, asiendelee tena kuhubiri watu ndani ya kanisa na wakati wa ibada. Who is he to be allowed to continue violating the law of the Land?
First Grade Pumba.
 
Mahubiri yake ya Jana yameniacha hoi na siamini Kama police wako serious kwani huyo mchungaji ana sumu mbaya ambayo nyumba za ibada hazijawahi ku practice tangu uhuru acha ugani wake kanisani anaingilia privacy to the extent angekuwa nchi za watu jasho lingemtoka. Kwa nchi wastaarabu hata kutaja tu details zangu jina na address hadharani nitadeal na wewe perpendicular sembuse anavyopakua details za watu in public kweli? Do we have orders up there ? Tunaenda pabaya

Anachofanya Mkullu kugawa watu wameshamuonya??Kama bado basi mwambie apandacho ndicho atakachovuna.Hapa ni vyeti tu hakuna kingine.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Msajili wa taasisi(The Registrar of Societies) ana wajibu wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi ambayo imeacha kutekeleza malengo ya kusajiliwa kwake, na kujivika joho la jukwaa la kisiasa na la uchochezi. The Regisrar aforementioned must take actions against such breach of terms of registration. Kila jumapili mahubiri ni Makonda Makonda, Why? Gwajima anatakiwa kuwahubiri watu wake NENO la Mungu, siyo majina ya watu. Furthermore, the police force must take action against such offender who always preach VIOLENCE. Uchochezi ni kosa la jinai. Kuhubiri kila siku majina ya watu ni uchochezi ambao ukiachwa hivihivi utasababisha uvunjifu wa amani. Ombi:Taasisi husika zitoe stop order kwa Gwajima, asiendelee tena kuhubiri watu ndani ya kanisa na wakati wa ibada. Who is he to be allowed to continue violating the law of the Land?
Neno la mungu linakataza kugushi.

Gwajima yuko right kabisa anawasihi waumini wasigushi vyeti kama Bashite
77273f0f365be0f9c0c0a9e63cb2205b.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Serikali ndio ilianzisha ukaguzi wa vyeti feki sasa gwajima anawapeni ushaidi wa vyeti feki halafu mnampinga.nyi ni mambumbumbu kabisa.mnafikiri kwa kutumia kiungo kinachopatikana katikati ya makalio.
 
Mjomba be properly informed that kuna taasisi ambazo zipo kisheria zinazohusika na masuala ya kutoe vyetu na kuhakiki vyeti. Pia kama kuna criminal element ktk suala hilo la vyeti kuna investigation machinery(police force) for that purpose. Gwajima hahusika and he is a layman in that field. Anachofanya ni majungu ya kipuuzi na ya kitoto. I have serious doubt on his maturity.
Hapa ndo kipimo cha Jamii inayopelekwa kwenye uchumi wa kiti mkuu we are stil far behind
 
Msajili wa taasisi(The Registrar of Societies) ana wajibu wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi ambayo imeacha kutekeleza malengo ya kusajiliwa kwake, na kujivika joho la jukwaa la kisiasa na la uchochezi. The Regisrar aforementioned must take actions against such breach of terms of registration. Kila jumapili mahubiri ni Makonda Makonda, Why? Gwajima anatakiwa kuwahubiri watu wake NENO la Mungu, siyo majina ya watu. Furthermore, the police force must take action against such offender who always preach VIOLENCE. Uchochezi ni kosa la jinai. Kuhubiri kila siku majina ya watu ni uchochezi ambao ukiachwa hivihivi utasababisha uvunjifu wa amani. Ombi:Taasisi husika zitoe stop order kwa Gwajima, asiendelee tena kuhubiri watu ndani ya kanisa na wakati wa ibada. Who is he to be allowed to continue violating the law of the Land?
Wala usijali mkuu, ngoma ikivuma saaaaana mwisho hupasuka bwaaaaaa! yupo wapi Kakobe? unajua wakishajua huduma zao ni za ubabaishaji na zinaelekea ukingoni na watu wameshaanza kushtuka kuwa kuna usanii na mchanganyo mchanganyo ambao wanafanya plus kuzini na kuzaa na wake za watu kwa jeuri ya pesa na madhabahu isiyoendana na Neno la Mungu, UTAONA WANAANZA KUYATITIMBUA NA KUYATINYANGA MAKSUDI KWA KUVUNJA SHERIA ILI WAKIMBILE NJE YA NCHI AMBAKO NDIKO WALIKOWEKEZA NA KUENDELEA KULA BATA HUKU WAKIACHA KONDOO WAO WAKITAPATAPA!
 
Msajili wa taasisi(The Registrar of Societies) ana wajibu wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi ambayo imeacha kutekeleza malengo ya kusajiliwa kwake, na kujivika joho la jukwaa la kisiasa na la uchochezi. The Regisrar aforementioned must take actions against such breach of terms of registration. Kila jumapili mahubiri ni Makonda Makonda, Why? Gwajima anatakiwa kuwahubiri watu wake NENO la Mungu, siyo majina ya watu. Furthermore, the police force must take action against such offender who always preach VIOLENCE. Uchochezi ni kosa la jinai. Kuhubiri kila siku majina ya watu ni uchochezi ambao ukiachwa hivihivi utasababisha uvunjifu wa amani. Ombi:Taasisi husika zitoe stop order kwa Gwajima, asiendelee tena kuhubiri watu ndani ya kanisa na wakati wa ibada. Who is he to be allowed to continue violating the law of the Land?

wewe acha kutoa povu, msaidie bashite aweke vyeti hadharani. mbona yule mkurugenzi aliambiwa aweke vyeti hadharani? usiweke utumbo hapa. HUo uanasheria wa kuunga unga ni zero tupu. Umejaa unafiki na kujipendekeza. Mbona hukumlaumu Bashite kwa kuhisi watu na kuwadhalilisha hadharani? what goes around comes around.
 
Kuna kipindi fulani startv mwaka 2015 alipambanishwa jamaa mmoja wa ccm sasa hivi ni mkuu wa wilaya moja maarufu Dsm na Jamaa mwingne wakili wa mahakama kuu na ni mwanachama wa chadema,aisee ndio utajua kwanini Uvccm wanamtetea mwenzao wa vyeti feki. Yaani yule jamaa (RC) eti kasomea sheria, yaani mweupe kuanzia ndani mpaka ngozi yake.
 
Mpumbavu wewe Gwajima anakemea uovu kama wizi wa vyeti na udanganyifu hajagombea political post japo hakatazwa makonda ndio ashitakiwe
 
Mahubiri yake ya Jana yameniacha hoi na siamini Kama police wako serious kwani huyo mchungaji ana sumu mbaya ambayo nyumba za ibada hazijawahi ku practice tangu uhuru acha ugani wake kanisani anaingilia privacy to the extent angekuwa nchi za watu jasho lingemtoka. Kwa nchi wastaarabu hata kutaja tu details zangu jina na address hadharani nitadeal na wewe perpendicular sembuse anavyopakua details za watu in public kweli? Do we have orders up there ? Tunaenda pabaya
Haya yote anasababisha baba J.
 
Back
Top Bottom