Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................

hahahaha Bigirita acha visa wewe...yaani umenichekesha mpaka H/G anashitukia hali yako ..
lakini pia nayo ni nzuri kuna watu wanajua kuchonga mdomo kama mpiga filimbi wa Amelini
Ndo hivyo tena FL1, mi nachuna tu! naongea inapobidi...
 
Mwanamke MPUMBAVU huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe! Ukweli ni kwamba, Mwanamke akiwa mpole, mcheshi, mvumilivu, hapendi makuu.. Hayo makelele ya kijeshi yatatoka wapi? Nyumba nyingi ukiona zina makelele, asilimia 91, chanzo ni Bibie... Vuvuzela..

Mwanaume pia huchangia kuibomoa ndoa yake sio kila jambo mwanamke ndio anaanzisha kuna wanaume wengine wamezidi gubu,kuna wengine wanataka wasikilizwe wao tu,kuna wengine kuomba samahani kwao ni kitendawili.....ndoa au mahusiano hayajngwi na mtu mmoja bali pande zote mbili zikishilikiana
 
hehehe mimi bana mpaka leo nimeshindwa kumuelewa huyu kiumbe (mwanamke), unaweza ukampa hiyo nyama ya ulimi na ya pua pia halaf akakuletea mizengwe, na unaweza ukamuona jamaa anambonda mwanamke mbaya sana na mwanamke ukamuona ameridhika fulu heshima na respekti.
to shorten the story: WANAWAKE SIWAELEWI KABISA.


Kama usemavyo Klorokwin dawa ya maralia sisi pia wanaume tunashindwa hasa kuwaelewa na kuwaweka kundi gani ndo hapo tatizo linapoanzia
 
Sina utaalamu sana katika masuala haya lakini nafikiri jambo la msingi ni kuwa na upendo wa kweli na mtu. Hayo mengine yatajipa. Ukimfuata mtu kwa mambo yasiyo ya msingi au ukilazimisha mapenzi basi kuna hatari ya kukutana na rabsha nyingi zitakazokuweka roho juujuu siku zote. Ndio maana kuna kauli za utani kama: mwenzio akizoea kukukera kwamba umezidi uzito/unene, usibishe; mpunguze yeye ubakie mwepesi! It's complicated.
 
Sisi wanawake tunavutiwa na mambo madogo sana ambayo hayahitaji kuwaumiza vichwa.. si pesa wala good looking zenu :A S 39:unaweza ukawa na yote lakini amani hakuna ndani ya nyumba
Kauli ya mwanaume ni silaha tosha ya kujenga au kubomoa ndoa yake..Mwanamke anavutia na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...
Unakuta mwanaume kadanganywa na wenzio ndoa au mahusiano yako ili yawe imara inabidi yapelekwe kijeshi..uwe mkali kama simba lah hasha hayo mahusiano hayatadumu
Kama unahisi umemkosea mwenza wako muombe samahani kwa lugha tamu
Kama yeye amekukosea na aombe samahani vilevile ....
Lugha zenu zikiwa moja ndoa /mahusiano yenu yatakuwa kama paradise ndogo
Kauli njema ni silaha
Lugha za kibabe /masimango na majivuno...yanbomoa

sawa kina baba/kaka/ dada/ mashemeji nawakilisha............................................:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

hapa umejiongelea wewe, haujawaongelea wanawake wote, kwasababu si wote wako kama wewe, na si wote wameolewa kwa mwanaume kama wako, hivyo experience ya mtu mmoja haiwezi kuwa shared na watu wote kwa kundi lile. Kuna wakati wa maneno matamu ya nyama ya ulimi kama unavyosema, na kuna wakati wa pilipili endapo itasaidia....kila jambo na wakati wake. mnajijua ninyi ni viumbe dhaifu, hilo halina ubishi, wakati mwingine tunatakia kuwalisha pilipili kama nyama ya ulimi haisaidii..kwasababu kama tukiishia kutoa nyama ya ulimi tuuu kwa nia ya kuwafurahisha ninyi tuuu, hatuishi hapa duniani kwa sababu ya kumfurahisha mwanamke tu kwa kila kitu....ukimsikiliza sana mwanamke kwa kila kitu, utaishia kuwa na mawazo ya kike na mapotofu ya kabisa ya saloon kwao. FIRST LADY ongelea lingine, hili nafikiri unatakia ukaongee na wanawake wenzio lakini si wanaume kama sisi. sorry!
 
hapa umejiongelea wewe, haujawaongelea wanawake wote, kwasababu si wote wako kama wewe, na si wote wameolewa kwa mwanaume kama wako, hivyo experience ya mtu mmoja haiwezi kuwa shared na watu wote kwa kundi lile. Kuna wakati wa maneno matamu ya nyama ya ulimi kama unavyosema, na kuna wakati wa pilipili endapo itasaidia....kila jambo na wakati wake. mnajijua ninyi ni viumbe dhaifu, hilo halina ubishi, wakati mwingine tunatakia kuwalisha pilipili kama nyama ya ulimi haisaidii..kwasababu kama tukiishia kutoa nyama ya ulimi tuuu kwa nia ya kuwafurahisha ninyi tuuu, hatuishi hapa duniani kwa sababu ya kumfurahisha mwanamke tu kwa kila kitu....ukimsikiliza sana mwanamke kwa kila kitu, utaishia kuwa na mawazo ya kike na mapotofu ya kabisa ya saloon kwao. FIRST LADY ongelea lingine, hili nafikiri unatakia ukaongee na wanawake wenzio lakini si wanaume kama sisi. sorry!

Kumbe !
 
Sisi wanawake tunavutiwa na mambo madogo sana ambayo hayahitaji kuwaumiza vichwa.. si pesa wala good looking zenu :A S 39:unaweza ukawa na yote lakini amani hakuna ndani ya nyumba
Kauli ya mwanaume ni silaha tosha ya kujenga au kubomoa ndoa yake..Mwanamke anavutia na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...
Unakuta mwanaume kadanganywa na wenzio ndoa au mahusiano yako ili yawe imara inabidi yapelekwe kijeshi..uwe mkali kama simba lah hasha hayo mahusiano hayatadumu
Kama unahisi umemkosea mwenza wako muombe samahani kwa lugha tamu
Kama yeye amekukosea na aombe samahani vilevile ....
Lugha zenu zikiwa moja ndoa /mahusiano yenu yatakuwa kama paradise ndogo
Kauli njema ni silaha
Lugha za kibabe /masimango na majivuno...yanbomoa

sawa kina baba/kaka/ dada/ mashemeji nawakilisha............................................:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

LOVELY POST MADAM, i wish na nyie mngekua hivyo... yaani sie ndio kabisaaa, tusingefika huko tulipo

mapenzi ni mzani mamaa
 
Mi nimejifunza kutoongea kabisa!! mpaka msichana wa kazi anamuuliza wifey, mbona baba haongei? amekasirika?
Nimegundua, kunyamaza kuna positive effect kwenye ndoa...kama mwenza ni vuvuzela ataacha au kupunguza, coz hau-entertain maongezi yasiyo na tija!! wala mwenyewe huanzishi maongezi ambayo yeye atakuovateki kwa maneno meeeeengi!! si mnajijuaga tena wadada?!!

Kumbe wewe ni baba?? siku zote najua wewe ni mama sorry lakini:A S confused:
 
Nakupa Tano Klorokwin!!!

Kifupi Wanawake hawaeleweki, mpe yote, mfanyie yote atakugeuza mpumbavu! Tumesikia mara ngapi mwanamke anasema nimemuweka mume wangu kiganjani, hafurukuti? Kumbe jamaa ni respect tuu inamtuma kuwa mpole.

Zaidi ya hapo ni respect kwenu
 
ukiwa na maneno ya nyama ya ulimi muda wote wakati mwingine hata uyo mkeo anaweza kukuona zoba fulani hivi, hataona kama wewe jabali lake, mlinzi wake mtu unayeweza kumtetea hata akiwaanashambuliwa na wengine, atakushusha hadhi...ndo maana nilisema kuna wakati wa maneno ya nyama ya ulimi na wakati wa pilipili..na wakati mwingine wake zetu huwa wanakuja kutushukuru baadaye kuwa "kwakweli baba, pale bora ulitumia pilipili", manake anakuja kuona faida yake badaye kwa kile ulichofanya. it all depends you know!
 
hehehe mimi bana mpaka leo nimeshindwa kumuelewa huyu kiumbe (mwanamke), unaweza ukampa hiyo nyama ya ulimi na ya pua pia halaf akakuletea mizengwe, na unaweza ukamuona jamaa anambonda mwanamke mbaya sana na mwanamke ukamuona ameridhika fulu heshima na respekti.
to shorten the story: WANAWAKE SIWAELEWI KABISA.


Nakupa tano mkuu, mwanamke mpe yote, mfanyie yote but still atakufanya pumbavu!!

Kwani ni mara ngapi tumesikia wanawake wanajisifu kuweka waume zao viganjani hawafurukuti wala hawakohoi kisa tu unakuta labda wanaume ni jamaa wapo fresh.

Kiukweli ladies hawaeleki kabisaaaa!!!
 
hapa umejiongelea wewe, haujawaongelea wanawake wote, kwasababu si wote wako kama wewe, na si wote wameolewa kwa mwanaume kama wako, hivyo experience ya mtu mmoja haiwezi kuwa shared na watu wote kwa kundi lile. Kuna wakati wa maneno matamu ya nyama ya ulimi kama unavyosema, na kuna wakati wa pilipili endapo itasaidia....kila jambo na wakati wake. mnajijua ninyi ni viumbe dhaifu, hilo halina ubishi, wakati mwingine tunatakia kuwalisha pilipili kama nyama ya ulimi haisaidii..kwasababu kama tukiishia kutoa nyama ya ulimi tuuu kwa nia ya kuwafurahisha ninyi tuuu, hatuishi hapa duniani kwa sababu ya kumfurahisha mwanamke tu kwa kila kitu....ukimsikiliza sana mwanamke kwa kila kitu, utaishia kuwa na mawazo ya kike na mapotofu ya kabisa ya saloon kwao. FIRST LADY ongelea lingine, hili nafikiri unatakia ukaongee na wanawake wenzio lakini si wanaume kama sisi. sorry!

Sorry, wanaume kama nyie na nani? Unawaongelea wanaume wote au nyie wepi?!!
 
Mwanaume pia huchangia kuibomoa ndoa yake sio kila jambo mwanamke ndio anaanzisha kuna wanaume wengine wamezidi gubu,kuna wengine wanataka wasikilizwe wao tu,kuna wengine kuomba samahani kwao ni kitendawili.....ndoa au mahusiano hayajngwi na mtu mmoja bali pande zote mbili zikishilikiana

Nimekubali 1st Lady! Inabidi tuanzishe semina ya ndoa.
 
Niliwahi kuwaelewa wanaume zamani sana na niliwaelewa kidogo ...lakini sasa hata hiyo Nyama ya ulimi sijui maneno matamu kwangu marufuku:sick:
 
Utadhani unachoongea ni kweli. Mungu aepushe mbali tu. Hiyo nyama ya ulimi huja baada ya kuwa nacho. Na hiyo nyama ya ulimi ni pumbazo la muda kwani tunajua wanawake wana matamanio yao yakisukumwa na hisia na mkumbo. Yaelekea nadharia ina nafasi sana akilini
 
Utadhani unachoongea ni kweli. Mungu aepushe mbali tu. Hiyo nyama ya ulimi huja baada ya kuwa nacho. Na hiyo nyama ya ulimi ni pumbazo la muda kwani tunajua wanawake wana matamanio yao yakisukumwa na hisia na mkumbo. Yaelekea nadharia ina nafasi sana akilini

kumbe mfalme unadhani nimelala nikaota:A S 114::bounce:
 
FL1 huna sababu ya kunyanyua jembe kwenda kulima
Elimu unayotoa hapa asilimia mia imesimama
Wanaume ubabe kutembeza kila siku kulalama
Nyama ya ulimi tamu lakini akili kumkichwa
Ndoa hailindwi na shoka FL1 anatuasa

Nyama ya ulimi pasipo mfuko kutuna Kingi anabisha
Maisha yamebadilika nyama ya ulimi miaka ya arobaini
Leo kiama kimewasili ndoa kama kampuni inaendeshwa
Jaribu yako bahati nasibu yako kuendesha
Tamati nafikia Mungu atangulizwe nyama ya ulimi inyumbulishwe
 
Back
Top Bottom