Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Wanawake ni malaria ya kwenye figo, hawaponi mpaka ufe! Mi nilishaacha habari za kuwafatilia na kujitahidi kuwajua, nimemuachia mungu!
Mkuu hivi umejaribu kutumia ALU au umetumia klorokwini?
Wanawake ni malaria ya kwenye figo, hawaponi mpaka ufe! Mi nilishaacha habari za kuwafatilia na kujitahidi kuwajua, nimemuachia mungu!
haki ya nani tena hii sredi mi sikuiona kabisaaaaa!
Mkuu hivi umejaribu kutumia ALU au umetumia klorokwini?
Aa wapi....wanahitaji vitu vikubwa sana....ila unavitoa kidogokidogo.
hahahaaa! stuka!!!!Aa wapi....wanahitaji vitu vikubwa sana....ila unavitoa kidogokidogo.
hahahaaa! stuka!!!!
kajirambe leo............for this useful post!!
na nyie muache kutudanganya,mkimpendwa uongo unazidi
Unajua DC huyu Rose anasema khsu experience yake kuwa amegundua kuwa wanaume wenye sura mbaya wanakuwa na maneno/lugha nzuri kuliko wale wahandsome.mie kwa upande mwingine nimekubaliana nae kwa vile wale wazuri wanakuwa wanatafutwa sna na inawezakuwapa kiburi.
Ila mie naona mtu yoyte anapaswa kuwa na lugha nzuri awe mwanamke au mwanaume hapo mahusiano yatakuwa imara kwa vile hakuna asiyetaka kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Unajua hii mutu inafikiri iko na akili kushinda mutu ingine....hahahaaa! stuka!!!!
kajirambe leo............for this useful post!!
Unajua hii mutu inafikiri iko na akili kushinda mutu ingine....
akitaka kilo anakupa kwanza stori za buku kumikumi hadi zitimie...
FL1 we hauko hivyo??? Basi PM itatufaa zaidi..:twitch:hahahah ..hapa nakanusha labda wafanya biashara maalumu.:nono:
Sasa wewe mwanaume jifanye unafuata ushauri wa Firstlady uone kama hutakaliwa kichwani. Ndio I agree at some level kuwa nyama ya ulimi muhimu kwa muda fulani tu lakini muda uliobaki ni kuonyesha uanaume a.k.a ubandidu wako (simaanishi umpige!!!) otherwise ukijifanya unajua kusikiliza kwa saaaaaana utajikuta unaporwa na mibandidu. Wanaume tumeumbwa tuwe na roho ngumu ndo maana hata sura zetu hazivutii,jaribu kuchekia ata wanyama wa kiume wanavyowatreat wakike ndo utajua tunatakiwa kuishi na wanawake kiaje.
Jumboplate nimeweka oda kwa Da Sophy akuhudumie bure wiki nzima!:A S tongue: