Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,824
- 2,079
Hawa wanaojiita dini ya amani wakifika huko ulaya na nchi zingine kwanza huanza kujidai ni wakimbizi harafu wanazaliana kama panya harafu wanaleta za kuleta maana wana uhakika sasa kuwa wana uraia wa nchi husika jamaa hawa wamesumbua sana Ujerumani,Sweden Australia Ufaransa na nchi nyingi sana sana sasa hivi zinajuta kuwakaribisha jamaa hawa kwenye nchi zao.
Unaota mizizi kwa njia ya Uhamiaji, yaani wao wametandikana kwao halafu wakaona wakimbilie nchi za makafir wapate pumziko, lakini kwa sababu laana ni laana tu bado hawaachi asili yao