Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Paul S.S
unatia huruma bible yako hujaifaham😂vzr una soma agano na kijijin kwenu nahis mana la kale na jipya halijakufundisha kutukana wat na kukejel. mbna wasabato na walokole walo elewa bible hawapo ivoo soma mdgo wangu life is to short kutalk upuuz jiandalie maisha mazur ya milele
 
Kawaida zenu nyie wakristo kuzuluia Mitume wa Mungu tazama Bibilia zina sema nini; Tazama Biblia Kitabu cha Kwanza, sura ya 19, aya ya 30-38, inasema hivi: Lutu akapanda kutoka Soari akakaa mlimani na binti zake wawili. Pia ukitazama kitabu cha Mwanzo, sura 29, aya 11, inasema hivi: Yakobu akambusu Raheli, akainua sauti yake akalia. Huyu Raheli akaolewa na huyu Yakobu baada ya miaka saba.Vile vile tazama sura ya 32, aya ya 24-30 inasema hivi: Yakobu akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri…akamwambia, jina lake hutaitwa tena Yakobu, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu.
Bibilia ni upumbafu mtupu eti;
Katika Agano jipya na Agano la kale inasema kama Mwenyezi Mungu alitaka kumuua Mussa lakini mke wake Sipora ndio aliomwokoa. Ajabu hii. Hebu kasome ujinga katika kitabu cha pili cha Mussa, kiinaitwa KUTOKA, sura ya 4, aya mbali mbali: Bwana akamwamia Mussa, hapo utakaporudi Misri, angalia ukazifanye mbele ya Farao zile ajabu zote nilizozitia mkononi mwako. Ili kuwa walipokuwa njiani mahala pa kulala, Bwana akakutana naye akataka kumwua. Ndipo Sipora akashika jiwe gumu na kuikata govi ya zungu la mwanawe, na kuibwaga miguuni pake akasema , Hakika wewe u bwana arusi wa damu kwangu mimi. Basi akamwacha. Ndivyo huyo mkewe akanena, u bwana arusi wa damu wewe kwa ajili ya kutahiri.

We ungetuandikia Yesu anasema mini na mhamad anasema nini. Hope ingekusaidia kutenganisha chuya kwenye mchele.
 
Kumbe unaongelea huyo jamaa ndiye Msela!? hata hajulikani mmemtolea wapi!? Haya ndio madhara ya kumfuata Gangster aliyejiita mtume... na aliyemtuma alikuwa ni gangster tu... Ndio maana akawapa na ahadi ya Danguro eti mkifa shahidi... yaani mnaua watu kuwahi Ahadi ya Danguro...

duh we tahira kweli unapingana na bible yako who teach to insult others religion itakuwa we unatumia bible ya mwenyekt wa serikal za mitaa 😁😄amka kialil sio unawaza viroba na madem ahad za danguro unazjua wwe😁devil kakumata kisawa sawa umelishwa fikra mgando kwa kukarir maisha tatzo hamtak kusoma bible yenu mnakarir vipande mnvo ona hiv ntaonekana mesoma😂😂wapagan mbna hawapo ivo
 
Unajua wanaokuwa magaidi ni wale watoto ambao wanakuwa kama desparate katika kukua kwao,kwa mfano hawa ndugu wawili ni yatima na kukua kwao wamekulia kwenye ustawi wa jamii,inakuwa raisi kumezeshwa idea za kigaidi,ila bora wamekufa,maana lazima wangefanya ugaidi tena maana walikuwa wamejiandaa

victoire una jina zuri but idea zako ni fakes tatzo mnashindwa kutofautisha baina ya waislam na waumin wa kislam...we kwan yule alouwa wayahid more then milion ni muislam na aliechoma ktk oven alikuwa nan alo start world war. anae kills innocent women and children..nakushaur uskarir yote ulioambiwa soma kwanzaa ustosheke na bachelorz zako au dip soma bible
 
We ungetuandikia Yesu anasema mini na mhamad anasema nini. Hope ingekusaidia kutenganisha chuya kwenye mchele.
Yesu si mnasema ni kichaa vipi utake kufananisha kichaa na Mtu mwenye akili dogo. Hebu kasome Bibilia au nikuwekee tena quote tazama hapa;Marko 3:20-21 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)Yesu Na Beelzebuli

[SUP]20 [/SUP]Yesu akarudi nyumbani. Umati wa watu ukamfuata tena, hata yeye na wanafunzi wake wakashindwa kula chakula. [SUP]21 [/SUP]Ndugu zake walipopata habari walikuja kumchukua kwa maana watu walikuwa wakisema, "Amerukwa na akili."
 
duh we tahira kweli unapingana na bible yako who teach to insult others religion itakuwa we unatumia bible ya mwenyekt wa serikal za mitaa amka kialil sio unawaza viroba na madem ahad za danguro unazjua wwedevil kakumata kisawa sawa umelishwa fikra mgando kwa kukarir maisha tatzo hamtak kusoma bible yenu mnakarir vipande mnvo ona hiv ntaonekana mesomawapagan mbna hawapo ivo
Ahadi ya Danguro ni kweli... wewe unaniita tahira... lakini hakuna utahira wa kumfuata gangster aliyejiita mtume... akawapa ahadi ya danguro na mito ya pombe ikiwemo... ndio matokeo yake haya, kuua watu ili wauliwe halafu kisingizio eti wamekufa shahidi, upuuzi mtupu! Bora unione tahira kuliko kufuata nyendo za mtu aliyekuwa anafanya highway robbery, na kubaka mtoto Aisha...
 
A
Yesu si mnasema ni kichaa vipi utake kufananisha kichaa na Mtu mwenye akili dogo. Hebu kasome Bibilia au nikuwekee tena quote tazama hapa;Marko 3:20-21 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)Yesu Na Beelzebuli

[SUP]20 [/SUP]Yesu akarudi nyumbani. Umati wa watu ukamfuata tena, hata yeye na wanafunzi wake wakashindwa kula chakula. [SUP]21 [/SUP]Ndugu zake walipopata habari walikuja kumchukua kwa maana watu walikuwa wakisema, “Amerukwa na akili

Muhamadi je anasemaje.? Mbona husemi?
Mfano: bibilia inasema maria amebarikiwa kuliko wanawake wote.
Yesu anasema mama yake yohana ni mwanamke bora kuliko wote.
Muhamad anasema Mariam manaye Yesu ni mwanamke bora kuliko wote.
Yesu anasema mbinguni hakuna kuia wala kuolewa. Muhammad anasema watapata mabikira wenye macho Makubwa kama mayai ya mbuni.
And so on.. Hapa huo tofauti.
 
Yauma akmaltu dinakum nakujalia uislam kuwa ni neema na leo nimekukamilishieni dini yenu! hayo ni maneno ya mtume na yamo ndani ya qurani na pia tunaambiwa aldinu naswah, yaani dini ni kunasihiana, sasa tujiulize kama dini pale katika mlima wa arafa ilikamilika na kuambiwa tuwe tuna nasihiana, haya mambo ya kuchinjana na ISIS yametoka wapi? maimamu wote wanne walikubaliana kutokukubaliana imam HANAFI, MALIKI, HAMBALI na SHAFI na miaka.ikaend saana bila kuchinjana haya ya ISIS yametoka wapi? na kama mtume alikamilisha dini yake pale mlima arafa, haya ya mabikra 72 mtu utawapata kwa kuua wengine yametoka wapi? je ni fundisho la mtume kweli? tuanzie hapo.
 
Muhamadi je anasemaje.? Mbona husemi?
Mfano: bibilia inasema maria amebarikiwa kuliko wanawake wote.
Yesu anasema mama yake yohana ni mwanamke bora kuliko wote.
Muhamad anasema Mariam manage Yesu ni mwanamke bora kuliko wote.
Yesu anasema mbinguni hakuna kuia wala kuolewa. Muhammad anasema watapata mabikira wenye macho Makubwa kama mayai ya mbuni.
And so on.. Hapa huo tofauti.
Niltee kwenye Qur'an wapi Mtume Muhammad kasema hayo maneno nilio ya highlighted , usinletee hadith mana hadith zitakuwa ni uwongo tu. Sa nyie mnasema Yesu ni muongo vipi mnamuamini kasema hayo maneno? Mnasema Yesu ni muongo dalili hizi hapa; Yohana 7:2-3 Na sikukuu ya Waayahudi, Sikukuu ya Vibanda ili kuwaa karibu. Basi ndugu zake wakamwambia, ondoka hapa, uende hapa, uende Uyahudi, wanafunzi wako nao wapate kuzitazama kazi zako unazozifanya. Kwa maana hakuna mtu afanyaaye nena kwa siri, naye mwenyewe ataka kujulikana. Ukifanya mambo haya, basi jidhihirishe kwa ulimwengu. Maana hata nduguze hawakumwamini. Basi Yesu akamwambia, Haujaafika bado wakati wenu siku zote upo. Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi: kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu. Kweni ninyi kwenda kula sikukuu: Mimi si kweli bado kwenda kula sikukuu hii: kwa kuwaa haujatimia wakati wangu. Naye alipokwisha kuwaambia hayo, alikaa vivi hivi huko Galiliya. Afu mnasema Yesu alikuwa natengeneza Pombe na kuwanywesha wanafunzi zake au wafuasi wake;Luka 7:33-34Neno: Bibilia Takatifu (SNT) [SUP]33 [/SUP]Yohana Mbatizaji alikuwa akifunga na hakuonja divai maishani mwake, ninyi mkasema, ‘Ana wazimu!' [SUP]34 [/SUP]Lakini mimi nakula na kunywa, nanyi mnasema: ‘Mtazameni mlafi na mlevi! Rafiki wa watoza kodi na wenye dhambi.'
 
Niltee kwenye Qur'an wapi Mtume Muhammad kasema hayo maneno nilio ya highlighted , usinletee hadith mana hadith zitakuwa ni uwongo tu. Sa nyie mnasema Yesu ni muongo vipi mnamuamini kasema hayo maneno? Mnasema Yesu ni muongo dalili hizi hapa; Yohana 7:2-3 Na sikukuu ya Waayahudi, Sikukuu ya Vibanda ili kuwaa karibu. Basi ndugu zake wakamwambia, ondoka hapa, uende hapa, uende Uyahudi, wanafunzi wako nao wapate kuzitazama kazi zako unazozifanya. Kwa maana hakuna mtu afanyaaye nena kwa siri, naye mwenyewe ataka kujulikana. Ukifanya mambo haya, basi jidhihirishe kwa ulimwengu. Maana hata nduguze hawakumwamini. Basi Yesu akamwambia, Haujaafika bado wakati wenu siku zote upo. Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi: kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu. Kweni ninyi kwenda kula sikukuu: Mimi si kweli bado kwenda kula sikukuu hii: kwa kuwaa haujatimia wakati wangu. Naye alipokwisha kuwaambia hayo, alikaa vivi hivi huko Galiliya. Afu mnasema Yesu alikuwa natengeneza Pombe na kuwanywesha wanafunzi zake au wafuasi wake;Luka 7:33-34Neno: Bibilia Takatifu (SNT) [SUP]33 [/SUP]Yohana Mbatizaji alikuwa akifunga na hakuonja divai maishani mwake, ninyi mkasema, ‘Ana wazimu!' [SUP]34 [/SUP]Lakini mimi nakula na kunywa, nanyi mnasema: ‘Mtazameni mlafi na mlevi! Rafiki wa watoza kodi na wenye dhambi.'

Wenye macho makubwa kama vikombe, kwa hiyo ukiletewa unatoa ahadi gani!? yapo ndani ya Korani hayo maneno... tena ile iliyofasiriwa na Sheikh Abdullah Farsy...
 
Yauma akmaltu dinakum nakujalia uislam kuwa ni neema na leo nimekukamilishieni dini yenu! hayo ni maneno ya mtume na yamo ndani ya qurani na pia tunaambiwa aldinu naswah, yaani dini ni kunasihiana, sasa tujiulize kama dini pale katika mlima wa arafa ilikamilika na kuambiwa tuwe tuna nasihiana, haya mambo ya kuchinjana na ISIS yametoka wapi? maimamu wote wanne walikubaliana kutokukubaliana imam HANAFI, MALIKI, HAMBALI na SHAFI na miaka.ikaend saana bila kuchinjana haya ya ISIS yametoka wapi? na kama mtume alikamilisha dini yake pale mlima arafa, haya ya mabikra 72 mtu utawapata kwa kuua wengine yametoka wapi? je ni fundisho la mtume kweli? tuanzie hapo.

Cc Adiosamigo
 
Last edited by a moderator:
Mimi nawasubiri baba yako au mama yako au basha wako.

Siku akikikupeleka kukutafuna tu naanza na wewe.

Cc; faby

Nistue na mimi nimfaidi
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa walikuwa wanatumiwa na inteligence ya ufaransa kupeleka wapiganaji huko Syria - sasa wamekorfishana wao kwa wao na ndio maana wamewauwa sababu siri ya ushirikiano wao utatoka .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom