Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Unakumbuka tukio LA yule mwanamke kule Sudan akiyetaka kuchinjwa kwa kuolewa na mkristo, kwakuwa babaake all kuwa mwislamu, mpaka ulaya na marekani zikaingilia kati na kutangua shariah wakanwaxha huru.
Pia kumbuka mashekh kule marekani waligombania mwili wa Michael Jackson ili wauzike wakisema ni mwislamu mwenzao. Hata magazine zao hapa bongo ziliandika tukio lile.sasa jiulize kitakachofanya wakina wema sepetu, diamond, idris, mr blue, nk. wasiwe waislamu ni nini?

Ni kama kukubali kudanganywa kuwa ISIS sio waislamu au wa ahmadiya sio waislamu.they all Muslims.
Umeangalia leo news familia za wachora vibonzo wa Charlie Hebdo wametoa lawama zao kwa polisi wa France wameshindwa kuwalinda ndugu zao.

Meyer wa Paris katoa amri supermarket zote za Mayahudi zifungwe.

Wewe kauzu huko huku povu linakutoka.
 
ukifa kama msela, sahau kuhusu ma bikra 72... lakini mnatakiwa muwe mnawapongeza wanaowafanya kuwa mashahidi, maana bila ya hao ma bikra 72 mtawasikilizia tu...
Teh teh teh kumbe Unamfahamu vile msela wa kizungu.
 
Umeangalia leo news familia za wachora vibonzo wa Charlie Hebdo wametoa lawama zao kwa polisi wa France wameshindwa kuwalinda ndugu zao. Meyer wa Paris katoa amri supermarket zote za Mayahudi zifungwe. Wewe kauzu huko huku povu linakutoka.
Weka link mkuu..
 
Teh teh teh kumbe Unamfahamu vile msela wa kizungu.

Huyo msela hata simfahamu, lakini mimi huwa mnanishangaza sana nyie ma role model wenu huwa ni watu wa ajabu ajabu, ona hapa unataka umuige msela, ndio maana hata sishangai mnakuwa na role model ambaye alikuwa ana sifa mbaya mbaya, mporaji wa misafara, mbakaji wa watoto, na sifa nyingine mbaya mbaya, lakini huyo ndio role model wako unategemea nini!? ni haya matukio yanayotokea...

Lakini sijaona sehemu ukiwapongeza polisi wa Ufaransa kwa kuwafanya watu kuwa mashahidi, je bila polisi wa Ufaransa hao watu wangekuwa mashahidi!?
 
Angalia mail online.

Nimesoma headlines inaniambia wakati USA wanaendeleza mashambulizi ya Anga. ISIS imewageukia watu wake na imeanza kuwachinja wairaqi wa sunni iliokuwa ikiwa protect. Na hao wasunni ndio waliwakaribisha ISIS kule Iraq kwa moyo kipindi iSIS inaanza vita na kuchukua maeneo.


Kwahiyo I think Mungu wao mnywa damu AMEchoka kusubiri kuona ISIS haiprogress zaidi pamoja na yeye kuwapa nguvu zake kupitia kuchinja innocents na damu za kutahiri wanawake, so ameamua kuanzisha tafrani miongoni mwao.kwakuwa wamekuwa unproductive hawapati damu nyingi kama zamani, na Sasa hivi amerudi kuinjoy kunywa damu za wale "flocks" aliokuwa akiwafuga kama kondoo kwenye banda. Kwani alikuwa na kiu kuliko vampire.
Mti mwemA hujulikana kwa matunda yake.
 
Alisema yeye ni Mungu wa wayahudi kainchi kadogo kanawapaa taabu waarabu

..........mmmh ! Biblia yenye maneno hayo mimi bado kuiona kabisaa ! :A S-eek: ....sasa wewe kilapalio mungu wako nani kama Yesu ni mungu wa Wayahudi !?
 
Last edited by a moderator:
Huyo msela hata simfahamu, lakini mimi huwa mnanishangaza sana nyie ma role model wenu huwa ni watu wa ajabu ajabu, ona hapa unataka umuige msela, ndio maana hata sishangai mnakuwa na role model ambaye alikuwa ana sifa mbaya mbaya, mporaji wa misafara, mbakaji wa watoto, na sifa nyingine mbaya mbaya, lakini huyo ndio role model wako unategemea nini!? ni haya matukio yanayotokea...

Lakini sijaona sehemu ukiwapongeza polisi wa Ufaransa kwa kuwafanya watu kuwa mashahidi, je bila polisi wa Ufaransa hao watu wangekuwa mashahidi!?
Sisi Waislam hatuna role models sisi tunaongozwa na Quran nyie ndiyo mnao role model wenu yule msela.
 
Nimesoma headlines inaniambia wakati USA wanaendeleza mashambulizi ya Anga. ISIS imewageukia watu wake na imeanza kuwachinja wairaqi wa sunni iliokuwa ikiwa protect. Na hao wasunni ndio waliwakaribisha ISIS kule Iraq kwa moyo kipindi iSIS inaanza vita na kuchukua maeneo.


Kwahiyo I think Mungu wao mnywa damu AMEchoka kusubiri kuona ISIS haiprogress zaidi pamoja na yeye kuwapa nguvu zake kupitia kuchinja innocents na damu za kutahiri wanawake, so ameamua kuanzisha tafrani miongoni mwao.kwakuwa wamekuwa unproductive hawapati damu nyingi kama zamani, na Sasa hivi amerudi kuinjoy kunywa damu za wale "flocks" aliokuwa akiwafuga kama kondoo kwenye banda. Kwani alikuwa na kiu kuliko vampire.
Mti mwemA hujulikana kwa matunda yake.
.......kyeeeh....kyeeeh....kkyeeh ! stori mbaya kila siku zinatokea ISIS, hivi kuna waandishi wa habari wanatembea nao ili kushuhudia hayo mnayoyaeleza !?.......mbona hawatueleze ni nani anawauzia silaha ?.......kwa sasa wana uwezo wa kutungua mpaka ndege ya kivita !:A S wink: 2013
 
Last edited by a moderator:
Sisi Waislam hatuna role models sisi tunaongozwa na Quran nyie ndiyo mnao role model wenu yule msela.
Si ndio huyo role model wenu aliwaletea hiyo Korani, akawaambia imeshushwa... alikuwa anafanya ujinga halafu anausindikiza na aya, eti mafunuo(Wahyi)... Siwezi kufuata mambo ya masela, Masela kawacheck pale ferry... sio role model wangu wale...
 
Huyo msela hata simfahamu, lakini mimi huwa mnanishangaza sana nyie ma role model wenu huwa ni watu wa ajabu ajabu, ona hapa unataka umuige msela, ndio maana hata sishangai mnakuwa na role model ambaye alikuwa ana sifa mbaya mbaya, mporaji wa misafara, mbakaji wa watoto, na sifa nyingine mbaya mbaya, lakini huyo ndio role model wako unategemea nini!? ni haya matukio yanayotokea...

Lakini sijaona sehemu ukiwapongeza polisi wa Ufaransa kwa kuwafanya watu kuwa mashahidi, je bila polisi wa Ufaransa hao watu wangekuwa mashahidi!?

Jesus in the House.jpg

Msela sina noma chukua dole ! Mkuu wa chuo, Ritz
 
Last edited by a moderator:
Si ndio huyo role model wenu aliwaletea hiyo Korani, akawaambia imeshushwa... alikuwa anafanya ujinga halafu anausindikiza na aya, eti mafunuo(Wahyi)... Siwezi kufuata mambo ya masela, Masela kawacheck pale ferry... sio role model wangu wale...

..........kwani Tourat ya Musa na Injil ya Yesu ilipatikanaje !?........unajua mana ya Ufunuo !? (Ufunuo wa Yohana !) Mkuu wa chuo
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma headlines inaniambia wakati USA wanaendeleza mashambulizi ya Anga. ISIS imewageukia watu wake na imeanza kuwachinja wairaqi wa sunni iliokuwa ikiwa protect. Na hao wasunni ndio waliwakaribisha ISIS kule Iraq kwa moyo kipindi iSIS inaanza vita na kuchukua maeneo.


Kwahiyo I think Mungu wao mnywa damu AMEchoka kusubiri kuona ISIS haiprogress zaidi pamoja na yeye kuwapa nguvu zake kupitia kuchinja innocents na damu za kutahiri wanawake, so ameamua kuanzisha tafrani miongoni mwao.kwakuwa wamekuwa unproductive hawapati damu nyingi kama zamani, na Sasa hivi amerudi kuinjoy kunywa damu za wale "flocks" aliokuwa akiwafuga kama kondoo kwenye banda. Kwani alikuwa na kiu kuliko vampire.
Mti mwemA hujulikana kwa matunda yake.
Naona unajitoa ufahamu soma hii...
Girlfriend of murdered Charlie Hebdo magazine editor says 'I always knew he was going to die' and blames police for failng to prevent massacre-
 
Sikubaliani kwa namna yoyote ile kuondoa uhai wa mtu kwa kutofautiana Kiimani. Lakini pia sikubaliani masuala ya kudhalilisha imani ya mtu... Lakini pia sikubaliani na ubaguzi wa wazi unaofanywa baadhi ya nchi na Jumhuhiya za kimataifa.... Hivi UN, US, EU na wengine mbona hawakutoa heshima zao kwa wahanga watoto na watu wazima kwa jamii ya Kipalestina walipomiminiwa mabomu na Israel, mbona laana zilifichwa kabatini na UN wakati kikundi kinachoabu unazi kilipochoma watu ndani ya majengo, huku kikiua kwa risasi waliojaribu kumkimbia kuuliwa na moto huko Donobass -Ukraine ; mbona laana hazielekezwi kwa US kwa kuua malaki ya raia huko Japan kwa bomu la nyuklia wakati tayari Japani ilikuwa imeisha kiri kusalimu amri... Kwa nini. Kwa nini...!?Kwa nini hawakuguswa na mauaji ya Mwandishi wa habari Mwangosi, Stan Katabaro, kujeruhiwa kwa S.Kibanda, S. Kubenea, yule dada wa Press Tv aliyeuliwa mpakani mwa Syria na Turkey kwa kufichua US kupitia WHO kuwasaidia ISIS na wengine... Kwa nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom