Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Hao polisi walishindwa nini kuwasaidia wachora katuni wa Charlie Hebdo wasipigwe risasi ofisni kwao.

Story hapa hao jamaa zako wameenda huko tunakodanganywa, bila ushahidi wowote.
 
kulikuwa na makudi mawili ya magaidi wakiwashikilia mateka sehemu mbili tofauti. kundi moja linasema mkivamia kundi jingine tunaua mateka tulionao. walichofanya polisi na kikosi cha makomando ni kwanza kuzima mitambo ya simu iliwasweze kuwasiliana na kuwashambulia wote wakati mmoja.

wanasema wale ma gun men walikuwa wa 5 ila wa4 no comfirmed kwamba wameuwawa

hivi sababu ilikua nini mpaka wakateka?
 
Magaidi yote matatu kwisha habari yao! Mojawapo ni mweusi akiitwa Amedy Coulibaly, sijui anatoka nchi gani Afrika!

suspects-paris-mon_3159644c.jpg


Majinga tu haya! yanaamini visivyoonekana! pambaf!
 
Unajua wanaokuwa magaidi ni wale watoto ambao wanakuwa kama desparate katika kukua kwao,kwa mfano hawa ndugu wawili ni yatima na kukua kwao wamekulia kwenye ustawi wa jamii,inakuwa raisi kumezeshwa idea za kigaidi,ila bora wamekufa,maana lazima wangefanya ugaidi tena maana walikuwa wamejiandaa

yeah pole yao may be wataenda mbinguni kama wanavyosema.
 
Hawa mbwa Uislam Ukikashifiwa utasikia Freedom of speech !
Mayahudi wakichorwa tu utasikia Anti-Semitism...


Safi sana ujumbe umefika tena murua Muislam haogopi kifo wamekufa lakini wachora katuni stadi wa Charlie Hebdo wanaandaliwa mazishi.

Tet teh teh...watu wa shoka wanasubiri wachore tena.

Sasa na wewe unajilipua lini?

Au unasakizia wenzako tu?
 
kulikuwa na makudi mawili ya magaidi wakiwashikilia mateka sehemu mbili tofauti. kundi moja linasema mkivamia kundi jingine tunaua mateka tulionao. walichofanya polisi na kikosi cha makomando ni kwanza kuzima mitambo ya simu iliwasweze kuwasiliana na kuwashambulia wote wakati mmoja.
daa soo nice,yaan kama kova na panya road vile
 
Teh teh teh teh watu wawili kwa askari 80 alikuwa wapi kuwasaidia wachora katuni wakati wanavyomwagwa mavi.
Ndugu yangu Ritz wewe unayeshabikia haya mambo, kuna siku itafika na hao unaowaita makafiri wanaweza wakavua ustaarabu na kusema kama keba keba...iko siku hawatasubiri kujibu mapigo. Wenzenu wameshatayarisha miji yao chini ya ardhi na chini ya bahari, wanaweza wakatulia huko hata kwa miaka 10 wakisubiri makali ya hewa yapungue ndio wajitokeze waanze upya. Wakati huo mimi na wewe ni historia.
 
Last edited by a moderator:
Kaka utapasuka bure, hao wameshakuuliwa, nawewe unakoendelea nikujilipuwa maana unaonesha kila dallili ya kujitowa roho.
Nasikia wachora vibonzo stadi wa Charlie Hebdo wamefufuka.
 
Shkamooni wafaransa hongereni kwa kuwaangamiza magaidi.naomba Yale maandamano ya ujerumani yaendelee kupiwapinga haya magaidi

Halafu mswahili mmoja eti naye anajiiingiza katika balaa hili.anaua Wayahudi apate sifa huko kaika ahera yao.Laana zake hazituhusu sisi
 
wanasema wale ma gun men walikuwa wa 5 ila wa4 no comfirmed kwamba wameuwawa

hivi sababu ilikua nini mpaka wakateka?

juzi walifanya maauaji wa waandishi wa habari na wachora katuni wa gazeti la #CharlieHebdo . Hawa wamekuwa wanachora vile vikatuni vya mtume mohamad ambavyo waislamu wanasema vinamtukana na kudhalilisha mtume wao. wao wanasema wana uhuru wa kufanya hivyo maana hata vya madhehebu mengine wanachora mbona hawachukii hivyo? wanasema lazima watu wajue in and out za mtume ingawa waislamu hawataki ijulikane.
 
baada ya kuingia ndani wamepisha mabomu ya mikoni ila haya ni maalumu siyo kwa ajili ya kuua ni kupumbaza magaidi na mateka halafu vikosi vya uokoaji vinaingia kuondoa mateka na kushambulia magaidi.

so wameuliwa wote hao gunmen
 
yeah pole yao may be wataenda mbinguni kama wanavyosema.

Mbinguni hawaendi wauwaji, hawa nimotoni direct. Watu wanadanganywa nani alikwenda kwa mungu akaja na ushahidi wa hayo maneno.

Tunakazwa hapa duniani kufanya uasherati cha ajabu tena eti kule ndo unapewa 72 jamani basi na nguvu za kiume itabidi ziongezwe.
 
Ndugu yangu Ritz wewe unayeshabikia haya mambo, kuna siku itafika na hao unaowaita makafiri wanaweza wakavua ustaarabu na kusema kama keba keba...iko siku hawatasubiri kujibu mapigo. Wenzenu wameshatayarisha miji yao chini ya ardhi na chini ya bahari, wanaweza wakatulia huko hata kwa miaka 10 wakisubiri makali ya hewa yapungue ndio wajitokeze waanze upya. Wakati huo mimi na wewe ni historia.
Huu upuuzi unamueleza nani?
 
Last edited by a moderator:
Nasikia wachora vibonzo stadi wa Charlie Hebdo wamefufuka.

Unadhani kwa akili yako hii imesaidi au ndio itafunguwa milango ya makatu zaid? hapa ndo utashuhudia makatuni ya kumwaga. hivi nisemavyo nikama watu wamehamasishwa kuchora nakusambaza.
 
juzi walifanya maauaji wa waandishi wa habari na wachora katuni wa gazeti la #CharlieHebdo . Hawa wamekuwa wanachora vile vikatuni vya mtume mohamad ambavyo waislamu wanasema vinamtukana na kudhalilisha mtume wao. wao wanasema wana uhuru wa kufanya hivyo maana hata vya madhehebu mengine wanachora mbona hawachukii hivyo? wanasema lazima watu wajue in and out za mtume ingawa waislamu hawataki ijulikane.

so baada ya kuwaua ndo wakawayeka watu
sijaelewa hapo mkuu nisaidie maana hapa hadi french chanel naona wanaongelea jinsi mateka walivyookolewa na majina ya watekaji lakini hawaongelei kisanga nadhani kwa furaha zaidi
 
Haya hayatatokea kama wataacha kukashifu Dini za watu. Hawa watu huwa hawaogopi kufa hata kidogo

Hii dini ina walakini. Tangu mwaka 2001 makanisa zaidi ya 30 yamechomwa hapa Tanzania, Kanisa limelipuliwa Arusha, Padre Kauawa Zanzibar. Katika haya matukio yote Wakristo walikashfu waislam?
 
Tabia hiyo isingekuwepo ya kudhalilisha viongozi wa Dini kwa vibonzo Basi hayo mauwaji yasingetokea,ila Kitu kikifanywa n waislam Basi duniani kote huna gumzo n habari , haki itasimama n batil ilazima
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom