Kama wanajua walipojificha si wawapige risasi wafe.Wauwaji inasemekana walipokimbilia eneo la viwanda, kabla ya kuingia ndani kujificha, walipeana mkono na Raia mmoja na kumwambia hawataki kuua raia wengine.
Watu wawili tu wanaitikisha France vikosi vyote vipi mitaani vinapelekwa mchakamchaka na vijana wawili tu.
Polisi na wanajeshi si waingie ndani ya ilo jengo wawakamate wahusika.
Kujiua ndio uoga, na ujinga shujaa anakufa kwwnye mapambano.Nashangaa kuona hawa jamaa walioteka wanaogopa kufa, nilidhani mpaka mida hii wangeisha jiua
Mifaransa mijinga Sana, ilijifanya kukumbatia waislam wakati ni magaidi sasa imekula kwao. Magaidi sio wa kuwachekea, Mimi hata nikipanda daladala nikiona Hijab au ile mindevu michafu huwa nashuka
Mim Nilianza Kuwaona Wakat Pop John Alipokufaga Kule Vatican, Mpaka Leo Sijapata Jibu.
Ngoja Wakuu Waje Watusaidie
Takriban 95% ya habari tawala ndani ya 24hrs ya kila siku , kutoka CNN kuanzia siku ya shambulio la Charlie Hobdo ni "Paris terror attack" .
Habari ambazo zinakuja live toka tukioni .
Kwa wale wafatiliaji wenzangu wa CNN nina imani mmeshaona mara kadhaa aonyeshwapo President , Francois Hollande akiingia/akitoka ofisini kwake pale nje ya mjengo mlangoni panakua na Askari wawili mmoja kushoto na mwingine kulia .
Askari hao wanaonekana wamevaa mfano wa uniform za kijadi , mithili ya Askari wa Mfalme hivi .
Mikononi wameshikilia kama upanga flani, na hawaonekani hata kutingishika , kujikuna , kuyumba .
Shortly hawaoneshi any movable symptoms .
Kwa wanaojua nauliza wale ni watu , au masanamu ?
Lakini wenzio wanazungumzia kuuwa binadamu, wewe unasema sintofahamu.Vita ya Iraq, Afghanistan ina sintofahamu kubwa, humu JF hakuna mtu anweweza kujielezea tusidanganyane wadau
Mimi lazima nimshobokee mzungu, yeye kagundua kila kitu, kwanini nisimshobokee, wacha mambo yako bwana. Hii internet unayotumia wewe bila mzungu ungechelewa sana
kumbe waislam ni magaidi??
Wale wa ufaransa ni Republican guard . Ni askari hodari sana.
Kujiua ndio uoga, na ujinga shujaa anakufa kwwnye mapambano.
Takriban 95% ya habari tawala ndani ya 24hrs ya kila siku , kutoka CNN kuanzia siku ya shambulio la Charlie Hobdo ni "Paris terror attack" .
Habari ambazo zinakuja live toka tukioni .
Kwa wale wafatiliaji wenzangu wa CNN nina imani mmeshaona mara kadhaa aonyeshwapo President , Francois Hollande akiingia/akitoka ofisini kwake pale nje ya mjengo mlangoni panakua na Askari wawili mmoja kushoto na mwingine kulia .
Askari hao wanaonekana wamevaa mfano wa uniform za kijadi , mithili ya Askari wa Mfalme hivi .
Mikononi wameshikilia kama upanga flani, na hawaonekani hata kutingishika , kujikuna , kuyumba .
Shortly hawaoneshi any movable symptoms .
Kwa wanaojua nauliza wale ni watu , au masanamu ?