Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Age is just numbers, kwenye biblia wapo mpaka miaka 3 wanafanyiziwa bila kuolewa, huoni ubaya hapo?
walahi kitendo alichofanya mudi kumuingilia mtoto a'isha ni ufidhuli mtupuu! Ambacho hata mbwa au nguruwe sijaona akimuingilia mtoto mbwa ima nguruwe! Halafu kuna mazuzu wanamuamini huyu eti ni mtume wa Mungu! Hee? Halafu alimuweka mkao gani; kampakata? wewe ff wajua mzuka wa mjengo ukijaa povu! Au? Tuache maskhara bibie...Kamuharibu jamani hadi binti Asidiq kafa bila mtoto! Hapo tumbo lazima likuume bibie! Lakini Wee umebakia mbona mbona kuongeza idadi ya wahalifu! Hee0†7!
 
mmekalia vijembe hata update hakuna.

mpaka sasa kuna matukio mawili ya hostage taking.
wale kouich brothers wako eneo la magodown na mateka.

pia yule gunmen wa jana alimpiga risas askari wa kike na kutokomea nae kaibukia supermarket ya kosher anashikilia mateka 6
Naona hapa polisi kama 30 wamelala chini kumbe hawa wazungu mikwara tu waoga sana.
 
Naona hapa polisi kama 30 wamelala chini kumbe hawa wazungu mikwara tu waoga sana.
Unadhani shaba ina ujasiri unaongea pumba wewe kwanza watu kama wewe sauti sukari inashuka mwilini
 
Mmmh uislamu ni dini nzuri sema kuna watu wachache ndio wanafanya uo upuuzi
 
baadhi ya waislam wanalaani kitendo cha hawa magaidi kuuwa waandishi wa hanari,kwa nini Ritz unatetea mauaji?
 
Last edited by a moderator:
Unaomba kwa nani wala usisumbuke kuomba hawa jamaa wapo tayari kufa lakini kwanza lazima wahakikishe wanawauwa wahusika wakuu wa Charlie Hebdo.
kwa nini wewe unawatetea?kuna baadhi ya waislamu wenzako wanalaani hiki kitendo,kwa taarifa yako tu Charb hakuwa na dini,na waliisema sana hata dini ya ukatoliki kwenye catoon zao,kwa nini wewe unakasirika?
 
baadhi ya waislam wanalaani kitendo cha hawa magaidi kuuwa waandishi wa hanari,kwa nini Ritz unatetea mauaji?
Hawa mbwa Uislam Ukikashifiwa utasikia Freedom of speech !
Mayahudi wakichorwa tu utasikia Anti-Semitism...
 
Last edited by a moderator:
Magaidi yote matatu kwisha habari yao! Mojawapo ni mweusi akiitwa Amedy Coulibaly, sijui anatoka nchi gani Afrika!

suspects-paris-mon_3159644c.jpg

 
kabisa,halafu magaidi yalitoka yanarusha risasi,wangekuwa polisi wa bongo wangekimbia,mapolisi ya kenya walimkimbiwa na magaidi hivi hivi pamoja na kulipua malls,wakaishia kuiba tu vitu kwenye malls,pongezi kwa polisi wa Ufaransa
 
Hawa mbwa Uislam Ukikashifiwa utasikia Freedom of speech !
Mayahudi wakichorwa tu utasikia Anti-Semitism...
Na wao wamekufa,walijidai kukimbia na wao wamepata haki yao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom