Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli siasa ni mchezo mchafu......sikuamini huyu mzee alivomkomalia sitta,kumbe ni kihiyo.Kwa tz yetu sdhani kama itafika hata 2012 kabla hajapata degree yake.............
jamani cha kushangaza nini! me nadhan amefanya uamuzi sahihi! ila ningependa kujua aliishia darasa la ngapi kabla ya kuanza form one! na je any other informal education kama anayo! Ntafurahi nikipata kumwanga hako ili niweze kuhisi uwezo wake!
No, seriously, wewe unadhani kweli jamaa kichwani zinapanda? I'm willing to put my 7yr old daughter against his big azz and see who's smatter.
Mimi hakuna kinachonishangaza Tanzania miaka hii.Nahisi hii habari sio kweli.
Ila nijuavyo viongozi wengi CCM hasa wilayani na ngazi za chini wana shule mbovu MNOOOO!....!!
Unaweza kumpambanisha na binti yako mwenye umri wa miaka 7, tofauti ni kuwa binti yako hata akimshinda hawezi kupata huo uenyekiti.
Inaonyesha unasoma vipande vipande. Ukuu wa wilaya ilikuwa miaka ileeee. Sasa hivi ni mwenyekiti wa chama cha mafisadi Dar es salaam.kwa sasa huyu jamaa inabidi afukuzwe kazi ya ukuu wa wilaya nijuavyo mimi kwa utaratibu mpay wa serikali bila kidato cha nne ajira hupati na kwa wale wafanyakazi ambao walikuwa na elimu yadarasa la saba waliambiwa wakajiendleze la sivyo nafasizao itafika wakati zitachuliwa na vijana wasomi hastahili kuendlea kuwa mkuu wa wilaya aachie ngazi mpaka atakapohitimu elimu yasekondarii
Kuazima maneno ya fisadi mtoto, "mawazo yako ni yaovyo ovyo". watu wote hawawezi kuwa wanasiasa. Na kuwa usipokuwa mwanasiasa huna haki ya kusema chochote. Kama mwili wote ni sikio kuwapi basi kusikia?Nyie wasomi kwanini hamtaki kujiunga na siasa? Huwezi ku-win bahati nasibu bila kucheza mchezo wenyewe.
Kama una bachelor, masters, Phd or THD, good for you. Lakini kama haupo kwenye siasa, vyeo vya kisiasa waachieni wanasiasa.
teh teh,eeeh mnyezi mungu asante sana kunionyesha jamii forum (the great thinker)bro you make my day goin to sleep nowSijawahi kucheka kama leo;ndiyo naelewa sasa kuwa Guninita kumbe alimshambulia sana Spika wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu ya uwezo wake haba wa kufikiri!
Guninita naweza kukupa bure vitabu vya English kama vile "Think Fall Apart"na vinginevyo ambavyo alikuwa anatumia mwanangu kwani yeye sasa kaisha vuka O level na kuingia mchepuo wa sayansi A level,na kwa hiyo vitabu hivyo havitumii!Naomba tuwasiliane.
Bytheway for this kind of credibility,Guninita hafai hata kuwa Mwenyekiti wa Vijana wa CCM wa ngazi ya kijiji,na sijui ilikuwaje hadi akashinda Uenyekiti wa CCM-Taifa!Mhitimu wa darasa la saba tena aliye feli anakuwa Mwenyekiti wa Jumuia yenye nguvu ya vijana ya CCM-Taifa?Haya ni maajabu na lzm yaingizwe kwenye "guiness book" na Masatu tueleze kama una lolote ilikuwaje Guninita akashinda!
Mkuu Guninita,nakutakia masomo mema hasa ya kukokotoa "Length and width" na baadae kufundishwa"vowels".
Hili desa maaalum kwa Guninita, a, e, i, o, u.akimaliza hapo ajifunze kuandika 1 hadi 10, baada ya hapo anaingia form two!
Sidhani kama Guninita ana akili ya kutosha kuelewa Trigonometry, Algebra, na Calculus.