Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Nasikia Anthony Diallo naye kayapika mavyeti!
Diallo darasa la nne, hata la saba hakumaliza.I have doubts kama anajua kusoma.
Nasikia Anthony Diallo naye kayapika mavyeti!
Magezi
All is good lkn kauli zako zipunguze ukali hasa hiyo ya kumshuku Mkuu wa Nchi kuwa huenda HANA akili timamu!
Tunaweza kum-challenge Mkuu wa nchi bila lugha zisizofaa;maana kama yeye anashukiwa kuwa HANA akili basi ina maana kuwa WATZ millions waliompa kura wao ndiyo wendawazimu kabisa?
Diallo darasa la nne, hata la saba hakumaliza.I have doubts kama anajua kusoma.
Mbona nasikia ana Masters Jamani?
Kama unataka uhakika si uulize haha haha!!
Nenda kwenye website ya BUNGE. Kasema ana Masters
Mbona nasikia ana Masters Jamani?
Alah! kumbe hawafundishwi Calculus? Okay...unajua sisi wengine tumekuja majuu baada ya kumaliza la saba...
wenzio wameenda wakiwa na miaka mitatu!
Thd, ?
Sidhani kama Guninita ana akili ya kutosha kuelewa Trigonometry, Algebra, na Calculus.
Magezi
All is good lkn kauli zako zipunguze ukali hasa hiyo ya kumshuku Mkuu wa Nchi kuwa huenda HANA akili timamu!
Tunaweza kum-challenge Mkuu wa nchi bila lugha zisizofaa;maana kama yeye anashukiwa kuwa HANA akili basi ina maana kuwa WATZ millions waliompa kura wao ndiyo wendawazimu kabisa?
Magezi
All is good lkn kauli zako zipunguze ukali hasa hiyo ya kumshuku Mkuu wa Nchi kuwa huenda HANA akili timamu!
Tunaweza kum-challenge Mkuu wa nchi bila lugha zisizofaa;maana kama yeye anashukiwa kuwa HANA akili basi ina maana kuwa WATZ millions waliompa kura wao ndiyo wendawazimu kabisa?
Mbona nasikia ana Masters Jamani?
Anyone knows education level of Mzee Yusufu Mkamba please?