Gundu la kinyesi

Mungu wangu ilikuwa wapi na lini? If you can share.. Please!!!
Home kwangu ilikuwa 2009-2010 bad enough nikadharau nikazoa na kutupa ila hapa karibuni nilihudhuria ibada ya Morning glory kwa Mch Kimaro aliongelea those things ndio nikafumbuka macho kuwa they do exist?kwakweli ni ushenzi na kurudishana nyuma hlf utakuta aliyefanya hivyo hajanufaika chochote kiuchumi.
 
Mimi imenitokea hiyo mwaka huu tu. Nilimfungulia wife biashara. Kwa miaka mi 4 imeenda vizuri sana japo vitu vya ajabu ajabu tulikua tunaona na kupuuza tu (maiti za kunguru kwenye pande 4 za eneo nakadhalika) ila mwezi wa kwanza tukaanza kuona vinyesi mlangoni. Wakifagia baada ya siku 2 tunakuta tena. Biashara haikuchukua miezi mi4 tumefunga pamoja na kuwa wabishi hatari.
Sema aliyefanya namjua.
Niishie hapo.
 
Poleni sana..!!!
 

Nikikikuta getin kwangu nn nifanye mkuu? Nizoe , nifukie ama nimwagie majivu chumvi?
 
Vp mkuu kwa wale ambao wana hulka tabia ya kujisaidia hovyo kama vile barabaran au kwenye vichaka yaani inakuwa ni tabia yake automatical hata kama anapoishi kuna vyoo yeye ataenda kwenye vichaka.
Vp wachawi au mambo ya kishirikina ayawezi kumpata endapo wale wachawi watachukua kile kinyec chake kwenda kukitengeneza.
 
Kinaungua kwa mafuta na uchafu mkavu
Soon ntakua na mifugo mingi nataka ninunuee zaidi ya kondoo mi4 niendee nao kijijini kufuga ila nataka nipate dawa ya kulinda (mali) mifugo mtu asije iangalia vibaya ikafa ama kuichawiaa ikadhoofikaa nifanyeje boss wangu...Mali izidi kudumu isiteteleke kichawi...
 
Para zile dawa za kimasai tuu..nyingine utapigwa
 
Hii nimeitoa FB😂😂😂


Kama jirani yako anauza sana pafunge kiroho _ Chukua choo cha mtoto mdogo kitupe hapo dukani kwisha habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…