Guide Book ya Diploma kwenda Degree imetoka

Guide Book ya Diploma kwenda Degree imetoka

Hilo Sina Uhakika Nalo, Lakini Chuo Nilichosoma Mimi Diploma Huwa Kuna OVERALL GPA ambayo Ni Average GPA kwa Semista Zote 6.

Sasa Nadhani TCU wanachukua Hii Average GPA kwa Semista Zote Ulizosoma.

Ukisema Wanachukua Semista Ya Mwisho Huenda ikawa hivi:-

1) Semista Zote Za Mwanzo GPA yako ni 2.2 to 2.6, Lakini Semista Ya Mwisho ukakutana na Favourable Condition Na Ukagonga GPA ya 3.6! Kweli TCU ndiyo Wakuchukue??
Au
2) Semista Zoko Zote Za Mwanzo Ulikuwa Ukipiga GPA ya 4.2 to 4.6, Lakini Semista Ya Mwisho Ukapatwa Da Family/Health Problems Ukaibuka Na GPA ya 3.1! Ndiyo Kweli TCU wakuache??


Nadhani TCU wakiwa Wanachukuwa Semista ya Mwisho itabidi Staff Wa TCU wote Kwanza Wakafanye Mtihani wa RPL.
haupo sahihi,inachukuliwa annual gpa ya mwaka wa mwisho,,,sababu kwa vyuo vingine mwaka wa kwanza na wapili max gpa huwa ni 4 badala ya 5
 
Samahani wana jf.
Dada yangu kamaliza ordinary diploma in records management na kupata GPA ya 4.1
Anataka kusoma degree ya education.
Je inawezekana au itabidi aendelee na records tu huko degree
Education???? afute kwenye akili yake
 
Unadhani kupata A, B+, na B za kumwaga ni jambo rahisj? Acha habari zako mkui. Ni sawa na kusema kila mwanafunzi wa A-level alazimike kipata divisheni one ili aende chuo kikuu...si jambo rahisi kama unavyidhani.


Kwanini wengine waweze??
 
"end justifies the means" hata km walitumia mbinu mbovu washapita so ww angalia maisha yako...sijawah soma private ila sitalalamika kwa hzo mambo maana najua ntakutana nao uraian na ktk soko la ajila
 
Back
Top Bottom