OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Kusema kweli nawaonea huruma watu wa clinical medicine gpa 3.5 ni mtihani!Mtu anaejielewa hawezi kumwita mwenzie ****** kisa hana gpa ya 3.5 kuna watu faculties wanazosomea ni vigumu sana kupata hiyo 3.5. Ila wengine wanawakatisha tamaa kusoma sio kufanikiwa kimaisha.
acha kupotosha umma kaka, GPA ya mwaka wa pili wa diploma (second year) ndo inayoangaliwa na sio GPA ya miaka yote miwili ya diploma.GPA huwa inachukuliwa kwa mitihani yote uliyofanya ulipokuwa chuoni NA huonyeshwa kwenye academic transcript yako. Hivyo ni wastani wa semister zote! It is a very fair indicator!
Amen, umeeleweka mzazi.Wakuu iko hivi; Kwa mtu anaesoma diploma katika mtindo wa NTA Levels wanakuwa awarded certificate kila mwaka kama unakihitaji unaenda kulipia unapewa ndiyo maana mtu akidisco mwaka wa pili anakuwa awarded chet cha NTA level 4 ambayo inaitwa basic technician level 4. Kwa hiyo Ordinaly diploma ni mwaka wa mwisho na GPA inayohesabiwa ni ile average ya semister mbili za mwaka wa mwisho na ndiyo inayotumika kuomba degree. Ila kama ni non-NTA level wanschukua total GPA za semister zote sita. Nadhan nimeelewwka wakuu
jumla ya pont zako zote ulizokaa chuoni.Jamn naombeni msaada hivi hiyo 3.5 inapatikanaje kwa mwaka WA mwisho tuu au miaka yote uliyosoma diploma
pole mkuu, wanaangalia overall ya 2yrsacha kupotosha umma kaka, GPA ya mwaka wa pili wa diploma (second year) ndo inayoangaliwa na sio GPA ya miaka yote miwili ya diploma.
overall GPA unayozungumzia ni kwa BACHELOR students, wao ndo wanaangaliwa performance yao ya miaka yote yani mwaka wa kwanza hadi wa tatu.
Cyo kweli mkuu only second year a.ka nta level 6pole mkuu, wanaangalia overall ya 2yrs
Kama ni Ordinary Diploma basi ni ya mwaka wa mwisho tu.pole mkuu, wanaangalia overall ya 2yrs
mkuu kuna transcript ya ndugu yangu alimaliza chuo cha uhasibu 2010, ina semister4 kwa miaka miwili. mwaka wa kwanza semista2, na mwaka wa2 semister2. nilivyoichunguza kila semista ina masomo4, kwa hyo kwa miaka2 jumla ya masomo ni16 na field report inakuwa17. point zake ni 61 kwa miaka yote. wamechukua 61/17 na wamemwandikia gpa ya 3.5 upper second class . na mwaka wa kwanza alikula vikalai vingi pamoja na A, Mwaka Wapili Alipga Mabanda Na Na B+ nyingi. sasa ingikuwa mwk wapili pekee angekuwa na gpa zaidi ya 4.7Cyo kweli mkuu only second year a.ka nta level 6
Mkuu tusibishane sana angalia hapomkuu kuna transcript ya ndugu yangu alimaliza chuo cha uhasibu 2010, ina semister4 kwa miaka miwili. mwaka wa kwanza semista2, na mwaka wa2 semister2. nilivyoichunguza kila semista ina masomo4, kwa hyo kwa miaka2 jumla ya masomo ni16 na field report inakuwa17. point zake ni 61 kwa miaka yote. wamechukua 61/17 na wamemwandikia gpa ya 3.5 net. na mwaka wa kwanza alikula vikalai vingi pamoja na A, Mwaka Wapili Alipga Mabanda Na Na B+ nyingi. sasa ingikuwa mwk wapili pekee angekuwa na gpa zaidi ya 4.7
sjakubishia bas kila chuo kinautaratibu wake wa kuweka gpaMkuu tusibishane sana angalia hapo
Umesema chuo cha uhasibu na hapo ndicho chuo cha uhasibu wanavyoweka gpasjakubishia bas kila chuo kinautaratibu wake wa kuweka gpa
pamoja mkuu, ila gpa za tanzania institute of accountancy zipo hivyoUmesema chuo cha uhasibu na hapo ndicho chuo cha uhasibu wanavyoweka gpa
Shukran pamoja sana mkuu
acha kupotosha umma kaka, GPA ya mwaka wa pili wa diploma (second year) ndo inayoangaliwa na sio GPA ya miaka yote miwili ya diploma.
Cyo kweli mkuu only second year a.ka nta level 6
Kama ni Ordinary Diploma basi ni ya mwaka wa mwisho tu.
Mkuu tusibishane sana angalia hapo
Sawa mkuu kwa TIA cjafahamupamoja mkuu, ila gpa za tanzania institute of accountancy zipo hivyo