Guide Book ya Diploma kwenda Degree imetoka

Guide Book ya Diploma kwenda Degree imetoka

Wacha Kwanza Niipitie GuideBook Kwa Utulivu Kabisa Then Nirudi Kwenye Uzi Kwamaana Kuna Watu Hapa Hawatapitia Chochote Bali Wataishiaga Kuuliza tu.
 
Sio kauli ya muungwana.
si mlikuwa mnataka mabalidiko? sasa ndo haya mabrother men na masister duh! ndo kazzi yenu kushinda mitaani na kulala katika kumbi za starehe wakati wanaojitambua walikuwa wanapiga msuli xaxa ndalichako naye kaja na yake mnaanza kudifance tena naona GPA ya 3.5 ni ndogo xana wangeweka hata 4.0 kuendelea ndo mngefatilia maxomo....
mtazamo tu tuuctafutane jamani coz mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe.
 
Nimemaliza Kupitia GuideBook Yote Mstari baada Ya Mstari, Lakini Kwa Ninavyowajua IT wa Government System Haitaacha Kuleta Usumbufu! Kwahiyo Sitogeuka Mbuzi Wa Kafara Kutangulia Kuomba! Wacha Kwanza Watu Waombe ili Nijue Wapi Panaleta Usumbufu
 
Na Jengine Linaloleta Matumaini Kwa Sisi Diploma Holders Ni Kule Kuekewa Angalau Vijinafasi Maalum Kwenye Hivi Vyuo, ila Tu Kwa Sisi Watu Wa Afya Wametufanyia Nafasi Chache Sana, Yani Chuo Kama AJUCO Wameeka Nafasi 5 tu Kwa MD!!!
 
si mlikuwa mnataka mabalidiko? sasa ndo haya mabrother men na masister duh! ndo kazzi yenu kushinda mitaani na kulala katika kumbi za starehe wakati wanaojitambua walikuwa wanapiga msuli xaxa ndalichako naye kaja na yake mnaanza kudifance tena naona GPA ya 3.5 ni ndogo xana wangeweka hata 4.0 kuendelea ndo mngefatilia maxomo....
mtazamo tu tuuctafutane jamani coz mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe.

Hapo ndoo ingekuwa poa sana
 
guys huu ni mpango tu wakupunguza wasomi hakuna cha kuboresha elimu hakuna nn watutolee unafiki wao
 
sasa utashangaaa hata waliofaulu wanakosa nafasi maana hata nafasi zimebanwa sana ....je tanzania ya viwanda na mpango wa kuongeza wasomi umeishia wapi ....Nikipata nauli siludi Bongo miyeyusho tu
 
si mlikuwa mnataka mabalidiko? sasa ndo haya mabrother men na masister duh! ndo kazzi yenu kushinda mitaani na kulala katika kumbi za starehe wakati wanaojitambua walikuwa wanapiga msuli xaxa ndalichako naye kaja na yake mnaanza kudifance tena naona GPA ya 3.5 ni ndogo xana wangeweka hata 4.0 kuendelea ndo mngefatilia maxomo....
mtazamo tu tuuctafutane jamani coz mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe.
Wewe una GPA ya ngapi? Nani kakwambia hakuna mafanikio bila degree? Una umri gani wewe? Unataka kumbi za starehe ukakeshe wewe?
 
Wewe una GPA ya ngapi? Nani kakwambia hakuna mafanikio bila degree? Una umri gani wewe? Unataka kumbi za starehe ukakeshe wewe?
SIKU ZOTE ALIESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAAA...........NA KUTANGULIA IO KUFIKA SIONI HAJA YA KUWATUPIA MANENO MABAYA WALIOKOSA HIYO 3.5 WANGAPI WALIKUWA WANAHAO SANA CLASS NA WAMEKOSA SO HIZI NI SITUATION TU BUT GUYS MI HUWA NAAMINI CHANGAMOTO NI SEHEMU YA MAFANIKIO
 
Back
Top Bottom