Guide Book ya Diploma kwenda Degree imetoka

Guide Book ya Diploma kwenda Degree imetoka

Jamn naombeni msaada hivi hiyo 3.5 inapatikanaje kwa mwaka WA mwisho tuu au miaka yote uliyosoma diploma

Hilo Sina Uhakika Nalo, Lakini Chuo Nilichosoma Mimi Diploma Huwa Kuna OVERALL GPA ambayo Ni Average GPA kwa Semista Zote 6.

Sasa Nadhani TCU wanachukua Hii Average GPA kwa Semista Zote Ulizosoma.

Ukisema Wanachukua Semista Ya Mwisho Huenda ikawa hivi:-

1) Semista Zote Za Mwanzo GPA yako ni 2.2 to 2.6, Lakini Semista Ya Mwisho ukakutana na Favourable Condition Na Ukagonga GPA ya 3.6! Kweli TCU ndiyo Wakuchukue??
Au
2) Semista Zoko Zote Za Mwanzo Ulikuwa Ukipiga GPA ya 4.2 to 4.6, Lakini Semista Ya Mwisho Ukapatwa Da Family/Health Problems Ukaibuka Na GPA ya 3.1! Ndiyo Kweli TCU wakuache??


Nadhani TCU wakiwa Wanachukuwa Semista ya Mwisho itabidi Staff Wa TCU wote Kwanza Wakafanye Mtihani wa RPL.
 
Hilo Sina Uhakika Nalo, Lakini Chuo Nilichosoma Mimi Diploma Huwa Kuna OVERALL GPA ambayo Ni Average GPA kwa Semista Zote 6.

Sasa Nadhani TCU wanachukua Hii Average GPA kwa Semista Zote Ulizosoma.

Ukisema Wanachukua Semista Ya Mwisho Huenda ikawa hivi:-

1) Semista Zote Za Mwanzo GPA yako ni 2.2 to 2.6, Lakini Semista Ya Mwisho ukakutana na Favourable Condition Na Ukagonga GPA ya 3.6! Kweli TCU ndiyo Wakuchukue??
Au
2) Semista Zoko Zote Za Mwanzo Ulikuwa Ukipiga GPA ya 4.2 to 4.6, Lakini Semista Ya Mwisho Ukapatwa Da Family/Health Problems Ukaibuka Na GPA ya 3.1! Ndiyo Kweli TCU wakuache??


Nadhani TCU wakiwa Wanachukuwa Semista ya Mwisho itabidi Staff Wa TCU wote Kwanza Wakafanye Mtihani wa RPL.

Mfumo wa NACTE upo kwenye NTA's so wanaconsider NTA Level 6 ambayo ni mwaka wako wa mwisho ndo average gpa yake inatumika so let say 1st semester una 2.7 na 2nd semeter una 3.2 average yake ndo inahesabika kama NTA Level 6 GPA.
Huwa hawaangalii overall GPA maana haitoi uhalisia wa NTA Level 6
 
Wakuu nauliza kama nilisha apply mwezi wa tano, naruhusiwa Ku edit??!
 
Mfumo wa NACTE upo kwenye NTA's so wanaconsider NTA Level 6 ambayo ni mwaka wako wa mwisho ndo average gpa yake inatumika so let say 1st semester una 2.7 na 2nd semeter una 3.2 average yake ndo inahesabika kama NTA Level 6 GPA.
Huwa hawaangalii overall GPA maana haitoi uhalisia wa NTA Level 6
Ungeenda kuulizia vyuo vya ualimu diploma ngumu kama watu wanasomea urubani,
Ukikutana na mia wenye zaidi ya 3.5 hata ishirini uje uniambie
 
Naomba Msaada Ambao Si Wa Kudharaulika! Mimi ingawa Ni Diploma Holders (DIPLOMA IN PHARMACEUTICAL TECHNICIAN) Lakini Pia Nimemaliza A-Level PCB na nimepata Principal Ya Physics & Biology.

Lakini Nilipoingalia GuideBook Nikakutana Na Maneno Haya Ambayo Yamenipa Matumaini:-

"(Diploma in Pharmaceutical Sciences or GPA of 3. 5 With an average of . Principal passes at any grade in Physics/ Mathematics, Chemistry or Biology at “A” level will be an added Advantage)"

Sasa Kwakweli Baada Ya Kuona Kuwa Ukiwa Na Pricipal Ya Aina Yoyote Hile Kwenye (M/PCB) unapewa Kipaombele! Nimevutiwa Na Kujaza Matokeo Ya Advance Huko TCU.

Swali Langu Ninalowauliza Kutaka Kusaidiwa Ni Jee Katika Hiyo System Ya TCU ipo Sehemu Ya Kujaza Matokeo Ya Advance??
 
wangeweka wazi wanachukua GPA ipi
Wakuu iko hivi; Kwa mtu anaesoma diploma katika mtindo wa NTA Levels wanakuwa awarded certificate kila mwaka kama unakihitaji unaenda kulipia unapewa ndiyo maana mtu akidisco mwaka wa pili anakuwa awarded chet cha NTA level 4 ambayo inaitwa basic technician level 4. Kwa hiyo Ordinaly diploma ni mwaka wa mwisho na GPA inayohesabiwa ni ile average ya semister mbili za mwaka wa mwisho na ndiyo inayotumika kuomba degree. Ila kama ni non-NTA level wanschukua total GPA za semister zote sita. Nadhan nimeelewwka wakuu
 
Wakuu iko hivi; Kwa mtu anaesoma diploma katika mtindo wa NTA Levels wanakuwa awarded certificate kila mwaka kama unakihitaji unaenda kulipia unapewa ndiyo maana mtu akidisco mwaka wa pili anakuwa awarded chet cha NTA level 4 ambayo inaitwa basic technician level 4. Kwa hiyo Ordinaly diploma ni mwaka wa mwisho na GPA inayohesabiwa ni ile average ya semister mbili za mwaka wa mwisho na ndiyo inayotumika kuomba degree. Ila kama ni non-NTA level wanschukua total GPA za semister zote nne. Nadhan nimeelewwka wakuu
GPA inayohesabiwa ni ya mwaka wa tatu ambayo ni Average ya sem 1 $ 2
 
Mfano mim mwaka wa kwanza nilipata GPA ya 2.9 mwaka wa pili nilipata 3.0 na mwaka wa tatu semister ya kwanza nilipata 3.6 na semister ya pili nilipata 4.1 total average GPA ya semister mbili za mwisho ndizo zilizo andikwa kwenye cheti cha diploma ndiyo maana nikawa awarded upper sond class.
 
angalia profile yako mkuu kuna kipi kipya?
Mkuu naona kuna Hii
Screenshot_2016-08-16-19-20-11.png
nataka nifanye machaguzi upya, ila kuna hiyo txt inakuja apo. Sasa inanipa wasi wasi kidogo ..mimi nili apply mwezi wa tano mkuu.
 
wangeweka wazi wanachukua GPA ipi

GPA huwa inachukuliwa kwa mitihani yote uliyofanya ulipokuwa chuoni NA huonyeshwa kwenye academic transcript yako. Hivyo ni wastani wa semister zote! It is a very fair indicator!
 
Samahani wana jf.
Dada yangu kamaliza ordinary diploma in records management na kupata GPA ya 4.1
Anataka kusoma degree ya education.
Je inawezekana au itabidi aendelee na records tu huko degree
 
Back
Top Bottom