Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,802
Hii mbinu amekua akiitumia Mo pale Simba. Hawa watu wenye hela na wafanya biashara mda wote wanataka wawe midomoni mwa watu ili wafanye biashwords!ao. Walichokifanya GSM ni kujaribu kupima je wana nguvu kiasi gani kwa Wanayanga na Watanzania kwa ujumla.
Nazani kwa hali ya hewa ilivyochafuka GSM wamelipata jibu na timing yao ilikua perfect. Bishara lazma iendelee na si haba toka GSM waingie Yanga wameweza kukaa midomoni mwa watu na lengo lao la kujitangaza na kufanya biashara limefanikiwa asilimia 100. Ndani siku 2 au 3 mtasikia betri iliyochomolewa imerudishwa. Mark my words!
Ya Simba lazma yatokee Yanga ndo sifa ya hizi timu zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazani kwa hali ya hewa ilivyochafuka GSM wamelipata jibu na timing yao ilikua perfect. Bishara lazma iendelee na si haba toka GSM waingie Yanga wameweza kukaa midomoni mwa watu na lengo lao la kujitangaza na kufanya biashara limefanikiwa asilimia 100. Ndani siku 2 au 3 mtasikia betri iliyochomolewa imerudishwa. Mark my words!
Ya Simba lazma yatokee Yanga ndo sifa ya hizi timu zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app